Michuzi hebu kula linki nimekutasfiria toka
kimatumbi kuwa kiinglishi. kama utaridhika naomba kazi hivo
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HUYU NAYE SIJUI HII NDIO KATAMBUWA LEO? MBona kila sehemu unaweza kufanya hivi ukiwa Google?.
ReplyDeletedu. mambo ya kuvunjana mbavu jioni jioni hatari. nimecheka mpaka kicheko cha kesho. sikuwahi kuijaribu hii. du!
ReplyDeletemichuzi = sauce
tabia nchi = character country
hehehehe...
ReplyDelete"Linki let sauces I eat out kutasfiria
kimatumbi kuwa kiinglishi. Matumbi that kiinglishi. kama utaridhika naomba kazi hivo be satisfied if I work hivo"
crap
ReplyDeletehata hivyo hizi tafsiri za google zinapotosha sana.
ReplyDeleteTafsiri hii ya Google ni nzuri ingawa kuna wakati inakwama. Hebu tazama tafsiri za maoni ya wadau uone. Utacheka sana!
ReplyDeleteWhat on earth? Even if Google could do this, I think the geezer needs some industrial-strength English tuition!
ReplyDeleteSasa ndo amefanya nini wakati hata he or she ameshindwa kuzitumia! Ankal huyo hana jipya bwana tafadhali mmpe rukhsa ya kusoma blog tu yako maana hana jipya hata nukta.
ReplyDeleteWewe mtoa mani wa kwanza acha ushamba....watu wengine tulikuwa hatujui hii kitu, nimecheka sana yaani...Good Job
ReplyDeleteAnkal huyu mkalimani wako anataka kutuchunganya, kwani tumemwambia tunataka kujifunza kingereza, na nyinyi hamwishi kuwapa hadhi hao wenye nyengine kwani hatuwezi kuwa kitu chetu kwa lugha yetu tu. Kwanza hata tafsiri yenyewe hajafaulu vyema au kuna maneno mengine hayajui uzungu wake mf, Nkya Apata, abiria kasusa nk ambayo tafsiri yake amepotosha uasilia wake. NAOMBA TUMSAMEHE HANA HOJA YA MSINGI YA KUTUOMBA DEL HII SISI WADAU. MDAU WA ZENJ
ReplyDeleteHuyu anayetafsiri kanipa raha. Watu tunashinda tumenuna bila wa kuongea naye. Asante kama Michuzi kuwapa watu nafasi kutuchekesha. Nimecheka mpaka nikalia.
ReplyDeleteMnaomshambulia mdau aliyeomba kazi hamjaelewa nia yake. Alikuwa anaburudisha tu...na kweli ameleta raha.
ReplyDeleteKwenye tafsiri ya habari ya filamu neno circumcision sijui limetokea wapi ghafla. Bila shaka google wanadhani mahiri ni sawa na tahiri...kazi kweli kweli.
Pamoja na hayo haka ka translator huwa kanasaidia walau unapata msingi wa habari mengine unajitungia.
He followed the footsteps of ankal, and eat vekesheni without good intelligence.
ReplyDeletehapa akielekea Liberia majuzi here he turned Liberia ŝanĝoj
Ni burudani kwenda mbele.
ReplyDeleteEbwana eee!
ReplyDeleteNimecheka sana kwa Bandiko la Movie ya Ray Kigosi. Inasomeka hivi... Here is the circumcision of the film actors here, Bongo, and Dr. Irene Uwoya chain they adopt one of the film of its kind itakayokuwa called MR DREAMS, which inashutiwa company of RJ Productions Mahiri led by Ray aka The Greatest.
...Sasa mambo ya kutahiri yanatoka wapi hapo?
Sauce Globu Hoyeeeeeeeeeeee!
what is this??
ReplyDeletehahahahahaaaaaaa uwiiiii
mijitu mingine mijinga sana ndio maana nilisema sio kila kitu ni cha ku comment,...jamaa alitaka kutuchekesha watu wanamshambulia...we unafikiri mtu anaomba kazi hivyo?...kaa kimya kama huna comment...asante mdau kwa kunichekesha Muhidini (sauces- plural) (mchuzi- singular)
ReplyDeletekinda funny!!!walau umefurahisha wa2 kwa style tofauti.msimshambulie mdau kwa chuki zenu binafsi.naamini kaileta hii kwa lengo la "vunja mbavu".wengi wanajua juu ya hayo mambo ya google lkn hizi tafsiri zima za blog ya jamii zimeniacha hoi.
ReplyDeleteteh teh teh!!!!!!!!!!!!!