.jpg)
hapa akielekea Liberia majuzi
Ankal anafurahi mno kuona ankal wake anaendeleza libeneke
mtembelee
BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
sasa huku ndiyo kufurahisaha kadamnasi au ndiyo kuanza kupotosha lugha. maana sioni logic ya kuandika neno pamoja na kuongezea herufi H,PAMOJAH. AU kuita nchi ya jakaya nchi ya JAH kaya,maana neno JAH linamaana tofauti kabisa,na neno kaya pia .
ReplyDeleteanyway lakini fikirini kwanza wapi tunakwenda pamoja na kuwa tunafurahisha. huenda ndiyo lugha inakuwa hivyo!!hahaha
nje ya mada: ile youtube ya mr II vs ruge umeiondoa? dawa ya jeuri ni kiburi. jamani body language.
ReplyDeleteAh Mzee wa Kwa Mtaa kwa Mtaa Kawakilisha Michuzi kwa Ankal au Burooooo Michuzi Hepi BAsidei Asumani Michuzi. Pazi
ReplyDeleteAnkal naomba usibanie vipi umetowa habari ya Ruge sisi kama wadau wako tunapenda ujieleze sababu hii imetusikitisha wengi inaonesha vipi Ruge anatawala soko hili plz usibane plz plz plz na wadau mnaonaje hili suala. Seif.
ReplyDeleteAnkal Othman umependeza, sasa inabidi uoe sasa au unasemaje mazee ......... Ni kweli ulikwa unaenda Liberia au ni Ankal Michuzi mkubwa anatudanganya hapa????
ReplyDeleteSeif wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mtego wa panya mbona watahadhirika wengi? Mr II tuko pamoja ingawa sie hatuna nembo!
ReplyDeletehakuna anayetaka kuwa Daktari huko kwenu.wote picha tu.
ReplyDeleteOthaman hongera san sana kwa siku kuu ya kuzaliwa,tunakutakia afya njema na maisha marefu.
ReplyDeletewadau FFU
Duh Mkuu unasheherekea angani. hiyo ni kali. HBB from me KILI,BG
ReplyDeletejamani wadau eeh nendeni kulee jiachie blog kwa misupu junior kuna picha ya us blogger kwa wale wanaotaka kumjua mkuu wa libeneke nenda kainyofoe ile taswira kule ilete huku kijiwe kichangamkeeeee
ReplyDeleteAnkal hii familia wote ni ma bloggers, inabidi tuangalie family tree huenda ankal ukawa baba yangu mdogo manake na mimi ni blogging 24/7.
ReplyDelete(US Bloggers)