Home
Unlabelled
jaza mwenyewe...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo jamaa atakuwa sio riziki anatangaza biashara yake.Kwenye mchezo wa gofu kuna mashimo 18 sasa yeye anatangaza lake la 19 hahaha!
ReplyDeletetene hii ni nzuri sasa kuiga kwa taifa la kuigaiga mambo kama letu. Haye tena mabrozoyooooo.... igeni na hii ili mtuvutie wawekezaji...
ReplyDeleteMichuzi mi ninachoomba tu ndugu zangu huko Bongo mjaribu kuiga na hii. Yaani ninafarijika sana kuona jinsi mnavyojitahidi kuiga vitu vya majuu mfano wa flava na ulimbukeni kibao. Tafadhali jamani naomb mjaribu kuiga hii, yaani ni ujiko sana.
ReplyDeleteOyaa wabongo kazeni butidili hilooo. Tena pale mnazi mmoja kutembea uchi kwenye matasha makubwa dili kinoma, tafadhali jamani naomba muige kama wanavyosema wenzangu hapo juu.
ReplyDeletedah ee bwana michuzi waambie kina flava boyz wachangamkie hiii tenda, mali sana kwani inaleta faida katika taifa letu. Jamani tuzidi kuiga.
ReplyDeleteLol! hii kali sana, has made my day hahahahaaa
ReplyDeleteLOL! Mchezo wa STREAKING umerudi nini?
ReplyDeleteWa TZ wataiga sasa hivi. Hasa watoto wa kike
ReplyDeleteHapo mambo yatakuwa bomba mambo hadharani
Wabongo waige nini hapo!!. Hao Wasungu si Wameiga kule kijijini ya kwetu Endananyuki - Longido. Sii tulikuwa tunachungaga ng'ombe namba hii. Yaani ile Filimbi yako ya pande hiyo kwe mbele iko wasi kabisa
ReplyDeletemichuzi weka habari za maana za mapapa watu na mafisadi
ReplyDeletenahamu sana ya kumwaga cheche zangu kupitia hapa
maajabu ya dunia michu michu,yakhe mkuu, mbona sikuhizi nabii yohanna John Mashaka amwagi nondozoooozzzzzz, tumemiss sana mijadala yake kwa maana anaamsha na kuchangamsha jamvini so kawaida mkulu wa kaya, mlete nabii, anagalau na kaatiko kadojo kamoja libebe tu saini yake ya joni mashaka na mungu ibaliki tanzania. au ndo nabii mwenyewe huyo anayefukuzwa, ameenda golfu badala ya kuelemisha jamii. mashaka mimi ni mkuu wa kijiwe chako, njoo basi mara moja, nakusublia kwa usongo
ReplyDeleteJabaribu ufe pale Uwanja wa taifa FFU watakutemmbezea kichapo na wakikutia ndani kutoka lazima ulipe....majuu mtu kama huyo hawampigi wanashika wanampakia kwenye police car mpaka kwa psych doctor kumpima then wanamkata kwenye payroll yake fine na kumweka kwenye sunmagazine
ReplyDeleteWashkaji mnakera sana comment zenu! kila kitu 'huko bongo wataiga' wangapi mpo huko mliko na mmeshaiga mambo kibao? try to have positive mtazamo na nchi yenu!
ReplyDeletehii ukiifanyia zanzibar ndio itanoga zaidi
ReplyDeletedual citizenship....
ReplyDelete