Juu na chini ni washiriki katika mafunzo elekezi kuhusu usajili wa vizazi,vifo na ndoa yanayofanyika kwa siku 2 kuanzia leo katika hoteli ya New Dodoma Hotel mjini Dodoma.
Mafunzo haya yamefungulkiwa asubuhi hii na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Mh.Oliver Mhaiki na kushirikisha makatibu tawala wa wilaya za Tabora, Dodoma, Morogoro na Singida pamoja na wasajili wasaidizi wa shughuli za vizazi,vifo na ndoa. Kaimu Mtendaji Mkuu wa RITA Bw.Phillip Saliboko, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa haki za kisheria-RITA Bi. Emmy Hudson pia wapo kusimamia na kuratibu mafunzoi haya muhimu.
Mafunzo haya yamefungulkiwa asubuhi hii na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Mh.Oliver Mhaiki na kushirikisha makatibu tawala wa wilaya za Tabora, Dodoma, Morogoro na Singida pamoja na wasajili wasaidizi wa shughuli za vizazi,vifo na ndoa. Kaimu Mtendaji Mkuu wa RITA Bw.Phillip Saliboko, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa haki za kisheria-RITA Bi. Emmy Hudson pia wapo kusimamia na kuratibu mafunzoi haya muhimu.
RITA pamoja na washiriki katika mafunzo hayo
Ni faraja kuona RITA mmajitahidi kuelimisha umma na vyombo mbalimbali kwani Shughuli zenu zitafanikiwa kwa kiwango kikubwa kama hilo litafanyika. Aisee msisahau kupiga ule mziki wa RITA alioimba Bw. King Kikii katika siku ya kufunga mafunzo. Alafu nadhani ule mziki unaweza kuelimisha sana watu kama utakuwa unapigwa na vyombo vyetu vya habari kwani hata ladha ya utamu ipo.
ReplyDeleteBy Mdau.
Hawa watu wanaonyesha wako na mawazo mengine na confidence zao ziko chini. Sijui kama walifuatilia vizuri hii warsha.
ReplyDeleteMambo ya perdiem. Bongo kazi kweli kweli
Hawa RITA hawana tatizo kama baadhi ya Taasisi za Serikali. Wala sijawahi kuwasikia wakikimbizana na maworkshop lukuki wakati kazi yao ni serious sana. Mimi nawapa RIOTA big five na waendelee na utaratibui wao wa kusimamia na kutekeleza sheria za nchi katika eneo lao. tafadhalini msikaribishe ufisadi.
ReplyDelete