Ras Nas toka Norway (shoto) alikuwepo kuwakilisha wanamuziki wa Kitanzania Ugahibuni. Mada aliyotoa ya kudai wanamuziki walio Diaspora kukumbukwa kwenye tuzo hizi ilikuna wengi na waandaaji walitoa ahadi ya kuliangalia swala hilo kwa uzito unaostahili
wataalamu wa Deloitte Touche ambao watasimamia kura za kupata wanamuziki bora
Afisa wa Baraza la Sanaa (BASATA) Angelo Luhalaakijibu hoja na kutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa
wanamuziki wa bendi mbali mbali walikuwepo. Hapo mbele toka shoto ni Jose Mara wa Ngwasuma akifuatiwa na Khalid Chokoraa na Kalala jr wote wa Twanga Pepeta





mwana FA si alisema hataki kujihusisha na Tuzo hizo sasa imekuwaje yupo ndani ya nyumba?
ReplyDeleteMithupu yaelekea mambo ya "kisanola" na "masebene" yanakupiga chenga kidogo. Huyo unayemtambulisha kama Christian Bella ni Tarsis Masela, Kiongozi Msaidizi wa "wazee wa masauti". Edit please!
ReplyDeleteANKAL UMECHEMSHA HUYO SIO CHRISTIAN BELLA NI TAASIS MASELA
ReplyDeleteFANYENI HIVYO BASI KUSAIDIA MASHULE NA MIRADI YA KUSAIDIA UMMA. TBL KAZI YAO NI KUJIINGIZIA ELA TU LAKINI KUTOA KUSAIDIA MASKINI HAWAWEZI. WAIGENI WENZENU VODA.
ReplyDeleteHAFSA KAPOTELEA WAPI????
ReplyDelete