Wataalamu wa SOFIA PRODUCTIONS wakiwa mzigoni. Kampuni hii kwa sasa iko juu sana katika kushuti shughuli mbalimbali ikiwemo minuso ya harusi, mikutano, filamu na mambo memngine yote. Ina vifaa vya kkisasa na wafanyakazi waliobobea
vifaa vya mwanga vya SOFIA PRODUCTIONS
sauti na mwanga wa uhakika popote pale
kamera za kisasa za HD na wataaluma wanaojua kazi yao.
Ukiwataka SOFIA PRODUCTIONS
namba ni
+255 713 281 236






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Baada ya kupewa promo na Ankal, ilibidi muweke na website yenu, kwani kama mna vifaa vya Kisasa kiasi hicho mmshindwa kutegeneza webpage ya kampuni yenu.

    Webpage ni kitu muhimu kwa biashara kama hii, simu mmmmmmmhhhhhhhh.

    ReplyDelete
  2. I second u hapo juu...web page na price ziwekwe nje nje kuvutia wateja.....

    Wenzetu wanakimbia sie tunatembea na technology...Hao wanaomaliza IT hapo bongo wanafanya nini? Google Uganda, kenya Nairobi uone mambo mengi yanavyojitokeza. Google Tanzania ni michuzi blog tu agrrrrrrr. Tatizo bongo twapenda dezo na kumzximise profite kumbe hatujui matangazo yanaengeza wateja. wake up guys....
    Mnitafute mimi party time nitawatengenezea sites for freeeeee nyie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...