Amani akiwatumbuiza wapenzi wa jijini London.
Mwimbaji maarufu tok nchini Kenya, Amani alikonga nyoyo za wapenzi wa muziki jijini alipofanya shoo yake ya kwanza jijini London siku ya Ijumaa ya tarehe 2 katika ukumbi wa Ambassador. Amani ameahidi kufanya makubwa zaidi kwenye maonesho yake manne nchini Uingereza, ambapo atatumbuiza Reading, Bristol na London tena.
Mwimbaji maarufu tok nchini Kenya, Amani alikonga nyoyo za wapenzi wa muziki jijini alipofanya shoo yake ya kwanza jijini London siku ya Ijumaa ya tarehe 2 katika ukumbi wa Ambassador. Amani ameahidi kufanya makubwa zaidi kwenye maonesho yake manne nchini Uingereza, ambapo atatumbuiza Reading, Bristol na London tena.
Mwanadada huyo alianza shughuli zake za muziki miaka saba iliyopita. Beyonce na Mariah carey ndiyo waliomtia changamoto ya kuanzaa kuimba Kenyan Pop. Nyimbo zake nyingi zinahusu mapenzi na anaimba kwa kutumia lugha ya Kiswahili/English.
Ameshatoa album moja inayoitwa "Tamani" yenye nyimbo 10. Album hiyo ina nyimbo inayopendwa sana na mashabiki wa muziki "Missing You My Baby". Amani ameshapata tunzo nyingi ikiwemo tunzo ya best female MTV African Awards. Mpiga picha maarufu nchini Uingereza Bw. Shabani Kawawa akiwa na Amani muda mfupi kabla ya kutumbuiza katika ukumbi wa Ambassador jijini London.
kushoto DJ Richie katikati Amani wakiwa na mwandishi wa BLOG ya TZ-ONE Ally Muhdin
Amani akiwa na wadau waliojitoleza kwenye kuangalia onyesho lake jijini London.
kushoto DJ Richie katikati Amani wakiwa na mwandishi wa BLOG ya TZ-ONE Ally Muhdin
Amani akiwa na wadau waliojitoleza kwenye kuangalia onyesho lake jijini London.
Pardom me, but who is she? may be this time michuzi will allow my question to appear here. thank you.
ReplyDeleteYeah ila angevaa kitu kama min-skirt angependeza zaidi kwani huyu dada ana mguu balaa...mguu wa kufa mtu.
ReplyDeleteTo Anonymous (Sun Apr 04, 01: 43:00pm):
ReplyDeleteSHE IS A SINGER!!.....DUUH!
acha uvivu,shughulisha bongo lako,soma maelezo yote utajua ni nani,kumbuka vilevile huwezi kumjua kila mtu.
ReplyDeleteJamani AY .... ilikuwaje?
ReplyDeletemZOZAJI
nakubaliana na mtoa maoni wa 2, kwani dada yetu kapendeza sana ila hiyo suruali tu angeitupa na kuvaa sketi afu na michuzi angetuwekea kaji clip kake hapo tuone mauno anavyoyatoa tuone hicho kipaji chake.
ReplyDeleteamependeza ile mbaya!
ReplyDeleteTeQuann na mdau wa Sun Apr 04, 10:21:00 PM labda kiingilish kinakushindeni lakini suali linabaki pale pale who is she?
ReplyDelete