keki
Muanzilishi muendeshaji wa FotoBaraza.Net,Babukadja Sankofa (kulia) akiwa na mmoja wa wadau wakuu wa FotoBaraza.Net na pia ni muendesha kijiji cha Spoti Starehe, Pius Micky wakiwa katika pati ya kutimiza miaka miwili ya hewani ya kijiji hicho,iliyofanyika juzi huko Chadibwa bichi,Kigamboni.
Wadau wa FotoBaraza.Net wakikata keki kwa pamoja
Wadau wakijisevia msosi
msosi ukiendelea kuliwa na wanafotobaraza kwa raha zao

picha ya pamoja kwa wanakijiji wote waliofika katika pati hiyo iliyofanyika kule Chadibwa bichi iliopo Kigamboni mbele kidogo ya Mikadi bichi.
kwa picha zaidi
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. CHIBIRITI.April 12, 2010

    FOTOBARAZA OYEEEEE....!!!!!

    CHIBI.

    ReplyDelete
  2. hivi ni kwa nini hawa wanajiita fotobaraza.net ilhali sio wamiliki wa webpage ya fotobaraza.net?

    ukitiza address yao utaona kuwa ni nyengine kabisa!!!

    ReplyDelete
  3. Nabii Tito Aisha Mashaka (H-Town)April 12, 2010

    KUNYWA POMBE SO DHAMBI
    KULA NGURUWE SO DHAMBI
    KUOA WANAWAKE WENGI SO DHAMBI
    KUVUTA BANGi SO DHAMBI
    Hii ndo maana besidei yenu impetendeza sana

    ReplyDelete
  4. Kaka hongera sana kwa Kutimiza Miaka miwili ya blog yako, big up. I didn't know if it existed until today, you need a little bit of publicity lol.


    Your friend from JHU/CCP/Malaria

    ReplyDelete
  5. Naona watoto wamejiachia... safi sana wana FOTOBARAZA. Itabidi nami nijiunge sasa na FOTOBARAZA nasikia kuna mapicha kibao kusafisha macho

    ReplyDelete
  6. Hongera sana na ongeza marogo

    disminder.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...