Vijana "City Bulls": Top row, left to right: Uswege Mbamba (R.I.P.), Hamim Kissoky, Kolumba Mwingira, Rahim Kipingu, Eric Temba, Teddy Mwakabaga, Loty Cheyo, Mutombo, Alex Msoffe, and Delphinus Penessis (Super Coach). Bottom row, left to right: Simon Msoffe, Bahati Mgunda, Joseph Bulengero, Evarist Mapunda, Eric Karanja, and Abbyson Mwaisumo.
Pazi at the National Basketball Championship at Jamuhuri Stadium, Morogoro: From left the Late Mr. Malay, Aziz, Sidi,Yassin, Abass (Bana),Mbaga mwamboma, Saleh Zonga,Thomas, Kange Hassan, Mzee Kimaro Squatting: Late Raymond, Abdallah Aboud, Anderson Kailembo, Mohammed. Photos courtesy of Rahim Kipingu & Mohamed Siu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Nice one Michuzi umenikumbusha mbali sana, These were the real giants of Tanzania's basketball....enzi za Gymkhana mechi zinachezwa mpaka usiku wa manane. RIP wote waliotangulia na sisi tunafuata.

    ReplyDelete
  2. enzi hizo nihatari wapenzi walikuwa wengi kama sasa ilivyo mpira wa miguu
    na ilikuwa kukosa hata mazoezi kutizama huwezi. michuzi unajua sana wewe ilivyokuwa hizo siku tulikuwa wote hahahaha. nikweli hao ni
    real giants.na sio rahisi kutokea tena nasema hivi kwakuwa hizo siku
    kumepitwa mengi kulikuwa na viongozi
    wa kweli.wachezaji wa kweli wapenzi wakweli ah inatia imani sasahivi ilivyo basketball..

    ReplyDelete
  3. Pazi Rocks baby!! All day, all ways...PAZI forever!!

    ReplyDelete
  4. the legends!
    these people really loved the game.times were hard those days.hakuna mafao ya kutosha wala vifaa! but people played with pure heart!

    ReplyDelete
  5. Good old days. Tofauti ya enzi hizo na sasa ni kuwa kama wachezaji tulikuwa tukipendana sana, kama familia. Kwa sisi tuliokuwa wadogo kidogo huwezi kuleta tabia mbaya uwanjani/mazoezini. Palikuwa na malezi fulani mazuri.Hii pich ya pazi ilikuwa 1989. Baadhi yetu wachezaji wa pazi na vijana tulikuwa JKT wakati huo.Hii ilifanya JKT kuwa na timu nzuri chini ya kocha Mahesa(marehemu).
    Chama cha mpira wa kikapu kilikuwa maskini enzi hizo lakini timu zilikuwa na moyo kiasi cha kuziba mapengo na mapungufu. Kwa sasa chama kina fedha kiasi fulani lakini timu hzaiko 'committed' kama zamani(Maoni yangu). Shukrani kwa Siu ma Kipingu, ofcourse na ankal.
    Tiger

    ReplyDelete
  6. yani nakumbuka hunter alivyokuwa anajua aswa 3point yani kweli wakatiule ilikuwa raha sana mimi nilikuwa mdogo lakini lazima niwe gymkhana ikifika saa kumi naikumbuka timu ya bima ilikuwa safi sana ni kweli wakati uwa unajirudia kaka michuzi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...