mkongwe john kitime akikung'uta mpini huku waziri ally na babu njenje wakinesa wakati wa shoo ya pasaka kwenye kiota cha Manyoya (Salender Bridge Club) jijini dar. bendi hiyo na wadau kadhaa wa old skul wanaandaa shoo ya wanamuziki na maDJ wakongwe mbalimbali siku ya sabasaba katika kile kitachojulikana kama Old Skul Night. mipango zaidi mtatangaziwa baadaye
mkongwe john kitime akikung'uta mpini huku waziri ally na babu njenje wakinesa wakati wa shoo ya pasaka kwenye kiota cha Manyoya (Salender Bridge Club) jijini dar. bendi hiyo na wadau kadhaa wa old skul wanaandaa shoo ya wanamuziki na maDJ wakongwe mbalimbali siku ya sabasaba katika kile kitachojulikana kama Old Skul Night. mipango zaidi mtatangaziwa baadaye

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...