


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huu ni mfano mzuri kwa wabunge makini. Badala ya kuitisha harambee ya kuchangia campaign za uchaguzi ni muhimu kuchangia maendeleo ya majimbo.
ReplyDeleteThe next President of Tanzania
ReplyDeleteMbona kampeni zimeanza alfajiri wakati uchaguzi ni alasiri.Just kidding:)
ReplyDeleteMheshimiwa asante kwa kusaidia wananchi.
(US Blogger)
Acheni majungu,haijalishi kuwa anapiga kampeni au laa,suala ni kwamba amesaidia wananchi wake.nampa big up,hii si sawa na wale wanao fanya kampeni kwakuwapa wananchi pea za khanga au kuapikia pilau.No pilau no fulana,changia maendeleo.
ReplyDeleteMhina