Home
Unlabelled
nondozzz chuo kikuu cha university of mysore,india
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiki Chuo wanasoma watu WEUSI tu au ndio Wahindi hawataki kujichanganya?
ReplyDeleteHivi hiko chuo ni wa Waafrika tu? au ni picha tu? sababu sioni hata mhindi mmoja katika picha hiyo. Hongereni sana kwa mahafali yenu.
ReplyDeleteMdau
MD
Hii dunia ya ajabu saana. Wahindi wanakimbilia kusoma Ulaya na Marekani, Watanzania wanaenda India. Sijui ubora wa chuo hiki lakini vipo vyuo India ni vizuru. Kwahiki??? Kwanini watu wasiende South Africa ambako Tz km SADC wanaiver ya fees?
ReplyDeletehaijalishikama hicho chuo ni cha watu wakijani wa pink au njano watu wamekula nondo zao full stop!! hayo mengine hayahusu kwani ishu ni nini? eboh? hongereni wadau woooote kwa kula nondo as long zinakubalika kimataifa mko juu tuu mtakuja kuwa mabosi wa hao hao wanaouliza ati chuo sijui ushuzz gani hongereniiii sanaaaaaaa
ReplyDeleteoh hii picha wameamua kupiga wanafunzi blacks only au chuo chote ni black students only au katika darasa hilo kulikuwa na blacks only.chuo kiko india sioni hata muhindi hapa.
ReplyDeleteHapo ndio inaonesha hiko chuo dili tu La wahindi wanakuja kuchukuwa pesa Africa sasa sibora Wajengee humuhumu Africa Tanzania hiko Chuo asilimia kubwa hapo ukichunguza utaona ni Watanzania pia.
ReplyDeleteWajinga ndio waliwao.
ReplyDeleteMDAU MMOJA ANASEMA NENDENI SOUTH AFRICA NA TZ KAMA SADC WANAIVER FEES , HII MAANAKE NINI MIMI SIELEWI? WANAIVER!!!!!!! EBU TUELEZE VIZURI TUFAIDIKE
ReplyDeleteWadanganyika, jamani: Logi, logic, logic... aliyepiga picha hizi na kuzituma kwenye blog gii ya jamii ni mtanzania, mwanafunzi, na mhitimu. Je, kulikuwa na haja ya yeye kulenga Camera yake kwa Wahindi, ambao hawatuhusu sisi.
ReplyDeleteHizi picha zilikuwa zinachukuliwa kwa ajili yetu sisi watanzania, ndio maana hakuna muhindi humo.
Hii University ina wanafunzi 4200, na asilia 96 ni Wahindi, sio watanzania.
Hongera zenu sana. Sie huku tunabeba maboxi halafu twende shule ni ngumu sana inaelekea wenzetu mmesoma kwa dezo.Mmekula kitabu tu.
ReplyDelete