Kuna wadau wamekuwa wakisaka sera ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TECHNOHAMA) Tanzania.
Ifuatayo katika link hii chini ndio sera yenyewe
http://www.ethinktanktz.org/esecretariat/DocArchive/Tz%20National%20ICT%20Policy%20%28March%202003%29.pdf

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hivi sera zinatakiwa kuwa zinaangaliwa upya na kurekebishwa kila baada ya muda gani? hasa sera ktk secta ya teknohama inayobadilika kwa kasi sana?

    ReplyDelete
  2. nashukuru kuiweka hapa, ila kwangu mie kama mdau wa ICT hii imepitwa na wakati kabla haijatekelezwa. kama mdau hapo juu alivyoshauri sera za ICT hubadilika haraka. niseme kuwa kwa kawaida uwekezaji na sera za ICT huangalia miaka mitano. kwa maana hiyo sera ya 2003 kwa sasa sidhani kama bado inafaa.

    ReplyDelete
  3. This policy need an amendment as it has now become Obsolete eg STATUS OF ICT IN TANZANIA..it provide 7years back statistics.It has to be updated

    Senior IT Systems Analyst
    Arusha

    ReplyDelete
  4. Nashukuru kwa kuipata mana nilikuwa naitafuta muda mrefu bila mafanikio bali sasa nafurahi kuipata.Sasa naomba tupatie Sera za utumishi za watu wa IT Serikalini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...