Uncle Michuzi,
I have to congratulate you for keeping Libeneke moving.
We have the below vacancies for well qualified and experienced people:-
1. Database Administrator (2)
2. Systems Administrator (2)
3. Hardware Engineers (10)
Please Email us your Resume/CV with 2 referees and all will be called for the Interview
Women are highly encouraged to apply
Deadline is 21st April 2010
I have to congratulate you for keeping Libeneke moving.
We have the below vacancies for well qualified and experienced people:-
1. Database Administrator (2)
2. Systems Administrator (2)
3. Hardware Engineers (10)
Please Email us your Resume/CV with 2 referees and all will be called for the Interview
Women are highly encouraged to apply
Deadline is 21st April 2010
Quality Systems (T) Limited
eMAIL: qstzltd@yahoo.com


Du..!! , hii kampuni ina email ya yahoo. Naogopa kupeleka CV
ReplyDeleteThe Kalija
Ankol, mara nyingi nishatuma post zangu hapa na unazibania, lakini ninahakika msemo wangu huu unaukumbuka, maana kila nikiaandika nautumia. Hii ni blog yako na ni uamuzi wako unayoweka hapa, lakini ningelikushauri uwe makini na matangazo mengine.
ReplyDeleteNi vizuri basi kwanza ungelikuwa unafanya utafiti mdogo tu wa matangazo kama haya, sio vizuri kuwapa vijana tamaa ya kuwa kuna kazi kumbe ni uongo mtupu.
sisemi kuwa hii kampuni ni ya uongo lakini inashangaza kuwa kampuni yenye nafasi kibao namna hiyo na ina email ya yahoo? Kampuni hata zilizo kuwa ndogo basi zinakuwa na email za uhakika, seuze hii ambayo inasema ni ya IT.
isitoshe na kiingilishi kinachemsha na nafasi ni kibao hivyo na ameshindwa hata kusema ni sifa gani anatafuta kwa muombaji?
Ankul tunaomba utuulizie zaidi kabla hatujatuma cv zetu.
hii kampuni ni ya kweli ankal? au tunafanyiana joke hapa? hapajeweka requirements za muombaji, hakuna jina la mtu tukaweza kumu-address katika email, email yao ni yahoo, wanatafuta wafanyakazi 14 kwa mpigo? nina wasi wasi sana.
ReplyDeletembona taarifa haipo kamili,toa vigezo basi vya hao watu unao wataka.
ReplyDeletekama ni database adm ni mysql,Ms-sql or oracle?
na system adm wa nini?windows or Linux?lete kitu kimekamilika!!!!!!!
Sio tu kuwa wana email ya yaho, ila mtumaji naonakatoka usingizini katuma tangazo. hizo kazi zote alizotuma zina specialisations...sasa utasema hardware tu au system administrator? wa windows, version gani, unix/linux, flavour gani. tangazo la ajabu.
ReplyDeletebrother michuzi, unazo details zaidi za kampuni hii? jee unajua lolote kuhusu kampuni hii, nauliza kama tahadhari kabla sijatuma cv yangu. wasi wasi wangu ni kuwa kampuni sijaona website yao na mtangazaji anatumia yahoo address. labda ndio kwanza inaanzishwa, ikiwa ni hivyo ni vizuri tukaelezwa mapema ili tusifikiri ni kanyaboya.
ReplyDeleteHAMNA PESA, VIMISHAHARA VYENU MBUZI SANA. HAOMBI MTU
ReplyDeleteHii Kampuni itakuwa ni ya kubeba mabox maana huyo anayetafuta wafanyakazi naona hajui anachotafuta. Cha msingi tu awe serious na tangazo lake. Kutumia e-mail ya yahoo sio ajabu tumeona Wizara ngapi zinatumia yahoo domain? hata Ikulu waliwahi kutoa Id yao kwenye domain ya yahoo.
ReplyDeletehaikukaa sawia hii. Kiingilishi kimenitia wasi wasi, pia ni ahadi gani ya kuwa kila atakayepeleka cv yake ataalikwa kwenye intavyuu?
ReplyDeletehivi kweli kama watu zaidi ya mia wakileta cv zao utawaita wote kweli? hakuna shoti listi kabisa? sijapatapo kuona kuwa watu kuitwa katika intavyuu kwa sababu tu wamepeleka maombi yao, daima watu hutizamwa elimu yao na expiriansi yao kama ziko sambamba na nafasi zilizotangazwa.
Jengine nafasi za kazi zinatangazwa lakini hapajatajwa sifa za muombaji, hii pia imenitia wasi wasi.
'all will be calledfor the interview'
ReplyDeletehii ahadi in matatizo sana.
kwanza inakuwaje uwape waombaje wote interview wakati watakuwepo amabao hawa qualify, why waste their time and your time na wasio na sifa ili mradi wame apply.
kwa nini 'the interview' kwani kila muombaji hana interview yake?
You need to hire pro wa HR and Recruitment, nyinyi focus with what you do best.
(US Blogger)
Au anamaanisha kuwa hao ma-referee ndio wataoitwa for intavyu? Sa si angeandika "both" na si "all"? Halafuuu, ni referee ama references? Au yote A na B ni sawa?
ReplyDelete