


Aboud Bus limepinduka hakuna aliyekufa ila watu wameumia sana na wengine bado wanaendelea kutolewa ndani ya Basi hilo wakiwa wamekatika baadhi ya viungo vyao.
Mdau,
Sent from my
BlackBerry® smartphone from Zain Tanzania
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani hizi ajali vipi. kikwete tuongezee lane nyingine barabarani. looh jamani kwa mwendo huu sirudi tanzania
ReplyDeleteAJALI AJALI AJALI!!!!
ReplyDeleteTanzania ajali zitamalizwa na nani??
Mbinu gani itumike kupunguza hizi ajali za kila siku.
Mungu Ibariki Tanzania
...Wa Tz msirudi; Wakenya tuchukue nnji isiyo na mwenyewe!
ReplyDeleteKulikuwa na mfululizo wa makala za mwananchi mmoja ajiitaye "Born Again Pagan" juu ya ajali Tanzania katika gazeti lilokufa la KwanzaJamii...lakini maoni hayakufa!
ReplyDeletePoleni sana wahanga. Madereva muendeshe kwa usalama, abiria muache kuchochea madereva waongeze speed, bora kuchelewa lakini mtu ufike salama, kulikonia hivi. Pia, lanes inabidi ziongezwe kwa kweli, tena zitenganishwe kabisa (sio kuchora mstari mweupe tu katikati ya barabara - kama upo), za wanaokuja na wanaorudi, kama jinsi ilivyo Morogoro Road ama Ally Hassan Mwinyi Road (kuanzia pale Morocco hadi Palm Beach nadhani).
ReplyDeleteHapo mahali panateleza sana hapo.
ReplyDeleteMshua wangu ameshawahi kujibwaga na Hilux Double Cabin pickup yake hapo. Bahati hakuumia wala kupoteza maisha.
Nasikia hapao ama palimwagika diesel au lami yake wameweka laini.
Na magari yanajibwaga kila siku lakini serikali wala haijishughulishi kubadilisha hiyo lami.
Labda mpaka wajibwage wenyewe wakati wanaenda Bungeni ndio watastuka na kubadilisha hiyo lami.
Khaah!
wameanza kutoa watu kafara kama kawaida yao na uchaguzi umekaribia!
ReplyDelete