Baada ya kazi kubwa ya kukonga nyoyo za washabiki wake Ali Kiba (shoto) leo jioni kaonelea lazima akajionee mwenyewe yanayojili Vincents Bar & Restaurant ambayo ndiyo Break Point ya Ukerewe katika mji wa Reading a.k.a Mji wa Kusoma. Hapa yuko na mwenyeji wake Ankal Gadol (wa pili shoto) na wadau wakijichana kama hawana akili nzuri vile...Libeneke Oye!
Home
Unlabelled
ali kiba atembelea break point ya ukerewe leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Ankal hizo sahani ni kubwa!! Duuu utafikiri za wabeba zege, inaelekea wabongo walilalamika sahani zilikuwa ni za kawaida ikabidi zitafutwe kubwa, kama huyo mdada atamaliza kweli msosi huo au atabeba kwenye lunch box?
ReplyDeleteNa lunch sijui ni pounds ngapi ankal? Tupe bei ya mlo mmoja.
Asante ankal kwa libeneke tupo mbele ya dunia habari zote kwa picha tunazipata!
Ni mimi mdau wa Damu
jamani wadau, reading panaonekana pazuri sana. natamani sana kufika hapo
ReplyDeletenaomba kujua hiyo reading ni wapi?mnapoandika muwe mnaweka in bracket mfano dar( Tanzania) sio kila mtu anajua kila mahali, mfano leo ukienda china ukamwambia mtu nimetokea ilala hawezi kukuelewa mwambie nchi na mkoa. najua wengi hawapajui hiyo reading iko wapi, nawakilisha
ReplyDeleteWewe anony wa Tue May 04, 08:22:00 AM mbona unauliza majibu wakati umeambiwa ni UK-erewe na huo ni mji wa KUSOMA (Reading)... Karibu taratibu kwenye GLOBU (blog) hii ndio lugha yetu humu usiwe mkali utazoea tu.
ReplyDeleteMdau hapo juu, zoezi dogo la Copy and Paste kutoka Google unapata maelezo haya:
ReplyDeleteReading (pronounced /ˈrɛdɪŋ/ ( listen) RED-ing) is a large town in England, located at the confluence of the River Thames and River Kennet, and on both the Great Western Main Line railway and the M4 motorway, some 40 miles (64 km) west of London. For ceremonial purposes it is in the Royal County of Berkshire and has served as the county town since 1867.
Reading was an important national centre in the medieval period, as the site of an important monastery with strong royal connections. Today it remains a commercial centre, with links to information technology and insurance. Reading also hosts two universities, a large student population, and is home to one of England's biggest music festivals.
mdau nami pia nakushauri kabla ya kuropoka na kuandika hapa kwanza soma vizuri post.
ReplyDeletepost imesema ni ukerewe, jee hiyo haitoshi? au nawe hujui ukerewe ni wapi?
sasa mnaniponda nini nyie, kabebeni box huko
ReplyDeleteMadu Hapo Juu,
ReplyDeleteKaribu sana Reading. Hii ndio Dodoma ya United Kingdom.
Hakuna mji nje ya Tanzania ambako ukienda utajisikia upo nyumbani kama Reading...Hakuna.
Ni Reading peke yake ambapo ukienda Post Office unahudumiwa na Mtanzania, Ukipanda Bus linaendeshwa na Mtanzania, Ukienda Out kula kuna Restaurant ya Mtazania, Ukitaka kutuma Mizigo nyumbani Wakala ni Mtanzania, ukitaka Unga wa Sembe kwenye Mini Market mmiliki ni Mtanzania...duh..hata ukiugua ikabidi uende Hospitali huko nako Nesi wako utamkuta ni Mtanzania.
Hapa ni Home Away From Home.
Huu ni mji ambao WaTZ (Bara na Visiwani) wanakula pamoja na mashekh Wanasali pamoja. Hapa hakuna udini wala Ukabila. Wachaga, Wahaya, Wapemba wote ndugu. WaTZ wajasirimali wanahudumia wananchi na hivi sasa tutagombea hadi udiwani. Mji Kusoma ndio mfano wa Disapora ya kweli, achana na wazembe wa miji mingine (Wanaendekeza kuchoma nyama tuu). Hapa ukitaka lolote kuanzia Mwanasheria, Madaktari, Wahasibu, Walimu wote wapo (to mention the few) Wote ni WATZ. Ankal, Uchaguzi ujao tutaomba tuwe na Mbuge wetu ili tuweze ku-deal na mafisadi vilevile. Kama hujaijua Reading boda tafadhali ingia kwenye Web... KARIBU MJINI KUSOMA....
ReplyDeleteWewe hapo juu unachanga Reading na Miji kama Leicester na North London. Huku watu wanatengeneza Pauni sio Umbea wala pesa za Queen. Waulize waliokuambia kwanza ndugu yangu. Huu ni mji Shule bwana sio mambo ya Kitchen Party! Huku hata Wapemba wanabeba Boksi sio mambo ya kulalala... Karibu mji Kusoma. Daima mbele
ReplyDeletehaya sasa mara reading, sijui kusoma sijui box! mie simo! ushauri wangu ni kwa ali kiba: Hizo ziara unapata chochote kweli au UNAFURAHI KUPANDA NDEGE TU! BE CAREFUL KIJANA MAANA USANII WA BONGO HUCHELEWI KUISHA HALAFU WATU WAMEKULA KWAKO. USIDHANI WASANII WOTE HAWAWEZI KUJA HUKO, NI MASLAHI HAYALIPI TU! B CAREFUL BRO, KILA KITU KWENYE MAANDISHI USIJEKUISHIA KUWA GOLDEN GOOSE AU CASH COW KWA WENGINE WAJANJA. HEED MY ADVICE!
ReplyDelete