Home
Unlabelled
ankal na ras makunja wakiwa 10 downing street..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mkuu wa wilaya wa nanii umetoka mchicha ile mbaya,ebu kajaribu kumomba polisi wa pale ikulu upiganae picha kama hiyo uone cha "MOTO"
ReplyDeleteknock the door ulizia wenyeeejiiii mpoooo?sikilizia chamoto...
ReplyDeletePHOTOSHOP.
ReplyDeleteKwa hiyo Ras Makunja= Njagu? Itabidi nirudi bongo ku-upgrade kiswahili changu.
ReplyDeleteeh! bwana eh!Ankal umetoka mchicha!
ReplyDeleteRas makunja vipi?kamanda naona wireles microphone mpya najua apo mziki wako mzito!atumwi mtoto oh! mperekee barua kamanda,hongera kamanda na suti zako mpya
teh!teh!te! mwe! mwe! mwe! Kakamanda ketu ras makunja,umependeza sana na suti zako mpya,microphone zipo begani?
ReplyDeletelile gitaa lako likopwapi.
ankal,huyo mlinzi wako kamanda ras naniini ana tabia mbaya za kuwadatisha hakili watu hadi watu wazima,tena hakili yake anaijua mwenyewe
ReplyDeleteANKAL UMETOKA CHICHA ILE MBAYA KUMBE NIMEGUNDUA FURANAS ZINAKUZEESHA, achana nazo
ReplyDeletechanga la machooo..hii picha nimeangalia so close lakini hata siku moja hutojaribu ankal bwana!!!!
ReplyDeletehahahhaha weee kiboko yao maana kwa show nakufagiliaa wawa mzee mzima ankali misupu.nyuma ya kinvuli chako kumechomoza mkono wa nguruwe ikiuskuma mlango wa ikulu ukerewe.hahahahah big up saana naona umemuiga supa star nanihiii kule kwa obama holiwudi
ReplyDeleteUmependeza sana, nice suit :)
ReplyDeleteankal, umependeza ila tatizo rako unachagua sehemu za kwenda njoo na uku jp uzuli wa uku akuna mtu wa ccm sisi uku tuna utaifa tu .
ReplyDeletekuna mijitu akili zao finyu wanaona mtu kuweza kupiga picha number 10 downing street ni issue kubwa na haiwezekani kabisa, wakati ni jambo la kawaida tu.
ReplyDeleteWatu toka kujua kuna kitu kinaitwa photoshop basi kila picha waionayo huruka photoshop. huko nyuma watu wameshawahi kuleta picha zao wakiwa katika viwanja vya arsenal. liverpool, man u na chelsea na watu wakaruka photoshop.
Askari wetu tz tu ndio hawako friendly lakini huku nje they are mpaka pale uvunje sheria.
Ankal Miposi,umependeza sana na hiyo ofisi.Mimi naomba uipate na ukae ndani ya hiyo ofisi japo kwa wiki moja tu!!
ReplyDeleteSiku hiyo wabongo wote itakuwa kuku kwa mrija.