Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Kiongozi wa Mabalozi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) Tim CLarke, akiongozana na Mabalozi wa nchi mbali mbali za Jumuiya hiyo,walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kuonana na Rais.
Picha na mdau Ramadhan Othman wa Ikulu Zanzibar
KAMA VIPI WANGE BAKIA NACHO TU,
ReplyDelete