Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2010

    wenzetu Malaysia miezi 2 iliyopita ilikuwa usd1 sawa rm3.40 leo ni 3.20 na wanasema hadi ifike rm2.00 sasa tanzania sijui, nashindwa kusema kabisa, labda tuombe viongozi wao waje kuwekeza kwetu kutawala nchi, au tuwape mwaka watuongoze loh, nachoka na ufisadi huu.

    ReplyDelete
  2. KalikaliMay 14, 2010

    Eeeeeeeeeeeeeeee! $ sasa >1400! Mbona website ya BoT inasema 1338? Au Bureau zina utaratibu wake zenyewe?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2010

    Euro inazidi kuporomoka,kaaaaaaaaazi kweli kweli.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2010

    $ 1 wiki mbili zilizopita ilikuwa sawa na 1400/= sasa hivi 1427/= nimeanza kupata mashaka 2015 inaweza ikazidi 3500/= niliyoisema
    Mkuu wa nchi ni mchumi sasa sijui anampango gani na hali hii mbaya ya madafu

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2010

    Haya ndio matokeo ya kubadilisha viongozi kama nguo, hawana jipya wanaendeleza yale yale, mwaka huu wanaingia tena kwenye uchaguzi lakini mwisho wa siku ni utumbo ule ule. Inauma sana kwa sisi tunaoishi kwenye nchi zenye viongozi wenye nia dhabiti ya kukomboa watu wao. Tanzania viongozi kazi yao ni kuuza sura kwenye mikutano ya kimataifa, haina maana yoyote ni afadhali wangetumia hizo fedha kuboresha huduma za jamii.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 15, 2010

    Hii inatishia amani,Mdau hapo juu umegusia web ya BOT tafadhali siifahamu naomba unisaidie au yoyoye anaeifahamu iwe kwa hapa au kwa mail yangu dazd@windowslive.com.Ila sasa dafu linaanguka vibaya.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2010

    Duh,Euro inazidi kushuka tu siku hadi siku.Nilikuwa nimweka vi-euro vyangu ili nije nikamate madafu wakati wa vakesheni ili nifanye cha maana bongo,ila ndo hivyo tena.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 15, 2010

    Watanzania, tupende kujishughulisha. Tusipende "spoon feeding". Kupata habari kwenye mtandao ni kitu kidogo tu - tumia search engine. Nenda Google, weka Bank of Tanzania halafu bonyeza search. Utapata jibu. Lakini kwa vile mmezoea kuwa spoon fed: website ya BoT iko hapa: http://www.bot-tz.org/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...