Home
Unlabelled
bei ya madafu leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
acheni wizi nyie inakuwaje mnunue dola ya canada kwa buku then mnauza kwa 1350? mbona hapo kuna bonge la gepu wakati kitu kiko ngoma droo na mnyamwezi?
ReplyDeletedu serikali yetu kweli vipofu! hivi ni kweli shilingi inashuka kirahisi kiasi hiki? kwamahanah iyo sisi wabongo exportion ya bidhaa zetu hakuna kabisa! na huu ndio msimu wa mazao mengi,mbona bandarini tunaona mazao ya mbao na mengine mengi yanakwenda nje ya nchi kwa wingi? hizo fedha za kigeni zipo wapi? haya ni matokeo ya ujinga inakuwaje serikali ambao ndio wanatakiwa kukuza uchumi wa nchi wanadhubuti kununua fenicha toka nje,wakati wanaruhusu mbao zetu kwenda nje? mambo mengine ayahitaji degree huweze kugundua, au ndio biashara ya wajanja! mahana siku hizi hapo posta zimejaa bureu de change utafikiri tuko mpakani!
ReplyDeletenimeshafungua account ya usd
ReplyDeleteuchumi tanzania unatuuwa sisi tegemezi huku nje ya nchi saa apo angalia dola ilivyo .....paka nimechanganikiwa nakosa ata pozi la kuomba mapene skani sasa mweeh jamani Tunaomba hawa jamaa wanaoangalia secta ya uchumi waone swala hili nazani mwakani dola 1 itakua sawa na 10,000 Tshs
ReplyDeleteMdau
Babuu
Wanauchumi wa Tanzania wamelala kwani kuachia shilingi kuporomoka dhidi ya Dollar ya Kimarekani si tija kwa uchumi wa Tanzania ambao unategemea zaidi uagizaji wa mali kutoka nje ya nchi. Bidhaa za nje ya nchi zitakuwa za bei ya juu sana hivyo kuongeza ugumu wa maisha kwa mtanzania ambaye vile vile hata akigoma kwa miaka nane mshahara wake hautapandishwa angalau kwa kiasi cha kukidhi haja.
ReplyDeleteSystems za kusimamia mambo Tanzania zimeziba kabisa kwa sasa. Kwa hiyo maisha Tanzania yatakuwa tu ya kubahatisha na kupokea lolote linalokuja mbele yetu. Mungu tuhurumie sisi watu wako.
ReplyDeleteMONEY PRINTING IS ANOTHER SOURCE OF GOVERNMENT REVENUE,NO DOUBT.
ReplyDelete