Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2010

    NI HUZUNI SANA,TANZANIA KWISHA WATAWALA UCHUMI UNAPANDA TUNA FEDHA ZA KIGENI NYINGI HIKI NI KIPIMO KUWA TANZANIA NI MAHUTUTI SASA,HAKUNA CHA MAANA SERIKALI YA AWAMU YA NNE ILICHOLETA ZAIDI YA KUONGEZA UMASIKINI,HALI YA MAISHA YA MTANZANIA NI MBAYA SANA ,SERIKALI HII NI USANII TU.WAPI TUNAKWENDA SASA??? HATA HIYO AIR TANZANIA SERIKALI NDIYO YA KULAUMIWA HAWAKUPEWA MTAJI WA KUTOSHA NA VILE VILE KUNA MAKUSUDI YA KUIUA ATC ILI KAMPUNI MOJA YENYE WA WABIA NA VIONGOZI FULANI IWEZE KUENDELEA KUJITANUA HIVYO HIVYO MBONA TRC NANI ALIKOSEA KUINGIZA KWENYE MIKATABA YA KIJINGA NA KIFISADI SI HIYO HIYO SERIKALI MBONA HAWALAUMIWI INANIUMA SANA KUONA ATC INANYONGELEWA MBALI KAMA NYERERE ANGELIKUWAPO YOTE HAYA NAFIKIRI YASINGEKUWEPO WATAWALA HAWANA UCHUNGU NA NCHI TANZANIA NI BORA LIENDE

    ReplyDelete
  2. GodfatherMay 27, 2010

    Goddam! Lakini Mwalimu alikuwa mshenzi, ungeamka asubuhi na sikia katangaza SHILLING IS DEVALUED 3,000 to the dollar! Hakuna ambaye angesema kitu! Mlie tu!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2010

    Hii dollar inapanda kidogo kidogo sana nataka ifike 2000, ili tukituma dollar elfu moja huko Tanzania wapate millioni mbili.

    Safi sana uongozi wa Tanzania, endeleeni hivyo hivyo tu, kwanza hao tunao watumia pesa hawafaidiki chochote na serikali ya Tanzania hata ulinzi hawana juzi tu walivamia na majambazi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 27, 2010

    Ebwana da! TSH inakimbilia UgSH!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 27, 2010

    Jamani kuna kitu kinachoendelea katika nchi yetu, kwa nini shilingi inashuka thamani kiasi hichi? Kama tungekuwa tunauza vitu nje it would have worked to our advantage but sadly it is the opposite.

    Serikali ya Kikwete lazima iliangalie ili jambo kwa upeo mkubwa, la sivyo watu wataenda kununua mchele sokoni na kapu!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 27, 2010

    Ankal, ukitoa habari hizi uwe pia unatueleza wako maeneo gani (address) na simu zao, tafadhali.

    ReplyDelete
  7. Zimbabwe and Tanzania 4ever after.May 28, 2010

    Helloooo Zimbabweeeeeeee!, here we come friend Zim, we see u r having too much fun, so we decided to come and join the club, we have always been best friends anyway, love you Zim!!!!!!!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2010

    lol! Nchi iliyoshindwa kila kitu!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 28, 2010

    HAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.....Halafu ukiuza hiyo Dola 100 huna utachonunua!!.....Mungu wangu weeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 28, 2010

    HIVI MNAFIKIRI UCHAGUZI UNALIPIWAJE KAMA SIO KWA STYLE HII?PIA DONT FORGET ZILE $$ ZINAZOKIMBIZWAGA OUT OF THE COUNTRY ADURING ELECTIONS.PERTOLI IMEPANDA BEI BONGO, DUNIANI SHWARIIIII!!!VERY SAD KWA KWELI WASOMI WAPO WANACHOKIFANYA HAKIPO COS DECISION MAKERS NI POLITICIANS SIO TECHNOCRATS.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...