Home
Unlabelled
BEI YA MADAFU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
john mashaka wee ndo serikari inakusikiriza, nenda kaoongee nao ili watupunguzie gharam ya Dola. hapa masiha siyo mchezo, itabidi tukalime kijijini tuhachane na mambo ya mjini hapa.
ReplyDeleteHii US$ inakichaa nini? Mbona inapaa?
ReplyDeleteHee, kumbe ni Riyal ya Oman ndio kubwa na si ya Saudi Arabia?
ReplyDeleteinapanda tuuu .
ReplyDeletewanafaidika wachache.
too much .
Ankal hii huduma ya kutangaza bei ya pesa imetusaidia sana tulioko nje kwani tulikuwa tunaliwa sana na marafiki!!
ReplyDeleteThe witch doctor Oman is seeing must be very good.
ReplyDeleteMdau hujakosea. Hii huduma ya kututangazia pesa inatusaidia sana kwa kweli..
ReplyDeletenyie mnaosema hii huduma inawasaidia chonde msije mkagombana na ndugu zetu hii bei nikwenye maduka kama unatumia bank inakuwa chini kidogo msijeona mnaliwa ati
ReplyDeletenyie mnaosema hii huduma inawasaidia chonde msije mkagombana na ndugu zetu hii bei nikwenye maduka kama unatumia bank inakuwa chini kidogo msijeona mnaliwa ati
ReplyDeletehii nchi ina wachumi kweli? ndani ya mwezi mmoja dafu limeshuka hivi na bado sasa kufikia december itakuweje?
ReplyDeleteNi kwanini serikali inawaruhusu watu kudai dollar badala ya kutumia shilingi ya tanzania.Nasikia sasa hivi sehemu nyingi sana Tanzania wanatumia dollar badala ya Tzshilingi.
ReplyDeletewahusika mko wapi?
....Nahisi BOT imeanza kuprint fedha za ruzuku ya uchaguzi du mbona thamani ya Tsh. inashuka kwa rate ya ajabu kiasi hicho... usishangae kesho imegonga 1500.
ReplyDeleteAnon wa May 24, 05:24,
ReplyDeleteNashukuru kwa angalizo. Kumbe bei za maduka ya watu binafsi zipo Juu kuliko bei za mabenki enh!
annon may 25,09.39 am
ReplyDeletena wewe ebu fungua website za mabenki mbalimbali ya bongo uone
mbona mabenki late iko chini sana tu sio huu wizi wa maduka binafsi
hamjui???