Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mariam Mwafisi akiongoza joging ya Bonanza la uzinduzi wa Mashindano ya SHIMIWI yatakayofanyika mkoani Tanga Septemba 17-Octoba 2, 2010 mkoani Tanga
Wanamichezo Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika Joging TUMESHERIA Sports Club wakiwa katika picha ya pamoja.
Mgeni rasmi akikabua timu ya Kilimo
Mgeni rasmi akikagua timu ya Uhamiaji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2010

    Jogging? are you sure naona kama ni walking to me

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...