(Picha na Anna Itenda wa Maelezo ).
Home
Unlabelled
DR. SHEIN ZIARANI MKOANI MANYARA .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nashangaa sana waandishi wahabari walioenda shule kusomea uandishi wa habari bado kila siku wanaandika "viongozi wa Chama na Serikali" Kwanini hawaandiki viongozi wa vyama mbali mabali na serikali......Ina maana miaka yote toka imeanzishwa vyama vingi bado wengine hawalijui hilo au ni makusudi au ni ignorance?...
ReplyDeleteNajua kiongozi hapo alikua katika shughuli za kiserikali na anatumia hela ya serikali kwenda huko. Na mwenge ni wa Taifa sio CCM...
Whats happening? Ina maana hawajui au wanafanya makusudi? Hata hapo ukiangalia ni kijani kijani tu. Ina maana vyama vingine haviruhusiwi kukimbiza mwnge huu?
Ni heri kuwashirikisha watu katika kila jambo na kusikia walilonazo rohoni kwao (vyama mbali mbali vina sauti pia) kusuppress feelings za watu wengine sio vizuri...siku wakiamka huko itakua taabu...