Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Vicky Nsilo Swai, akishirikiana na Kamati ya maandalizi Dar es Salaam ana Heshima ya kukualika/kuwaalika kuhudhuria hafla ya Chakula cha Jioni cha Hisani Mei 14 2010,saa 1.00 kamili jioni kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro wa kugharamia shughuli za uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mgeni Rasmi ni Mwenyekiti wa CCM Taifa
Mheshimiwa Rais Jakaya M. Kikwete.
Kiingilio: Shs. 50,000 kwa mtu mmoja Shs. 60,000 kwa Bwana na Bibi
Ukumbi: Golden Tulip Hotel,Masaki,Dar es Salaam
Tiketi zinapatikanaOfisi za:
Frontline management
2nd Floor S&F Building
Mwinjuma Road, Kinondoni
Tel: 0614 105 136
Email: info@frontline.co.tz
Au wasiliana na:
Brig Gen (rtd)- R.N. Chonjo- Mwenyekiti,Cell: 0754 320 740
Innocent Macha- Mtunza Hazina, Cell: 0754 222 036
Aggrey Marealle- Mjumbe Cell: 0784 266 782
`
Kiingilio: Shs. 50,000 kwa mtu mmoja Shs. 60,000 kwa Bwana na Bibi
Ukumbi: Golden Tulip Hotel,Masaki,Dar es Salaam
Tiketi zinapatikanaOfisi za:
Frontline management
2nd Floor S&F Building
Mwinjuma Road, Kinondoni
Tel: 0614 105 136
Email: info@frontline.co.tz
Au wasiliana na:
Brig Gen (rtd)- R.N. Chonjo- Mwenyekiti,Cell: 0754 320 740
Innocent Macha- Mtunza Hazina, Cell: 0754 222 036
Aggrey Marealle- Mjumbe Cell: 0784 266 782
`


Watanzania alietuloga kafa
ReplyDeleteNdesamburo Moshi mjini, Mbowe Hai. CCM hata mkusanye milioni ngapi hatuwataki sisi huku, tutawalia hela zenu lakini kura hatuwapi ng'o!
ReplyDeletenani kakudanganya ndesamburo atalitetea jimbo la moshi mjini,katika majimbo ya chadema ambayo ccm wanauhakika wa kuyarudisha ni moshi mjini na karatu,hesabuni siku tu nyie.habari ndo hiyo.
ReplyDeleteKwa kusisitiza tu hoja za mdau hapo juu Sisi ndo wakazi wa moshi hakuna cha JK hakuna cha Aggrey Marreale CHADEMA tu mpaka kieleweki waizi wakubwa hawa
ReplyDeleteJamani hivi hatuwezi kuwa tunafanya harambe kama hizi tusaidie mahospitali na kujenga mabarabara, usafi wa majiji etc. Sisemi CCM wamekosea kufanya harambee ni haki yao kama chama. lakini as a country hizi strategy ni muhimu kutumika kusaidia nchi nzima kama tunaona kodi haitoshi kumpa kila mwananchi basic needs. Pamoja tunaweza jamani.
ReplyDeletekiingilio 50,000/=
ReplyDeleteni wazo zuri sana kuchangia chama ktk mazingira ya uwazi, lakini ni vyema rais jakaya kikwete angewataarifu wanasisiemu kwanini wasitumie utaratibu wa zamani kupata fedha za kampeni... angetaja ni wapi uchaguzi uliopita alipata fedha na ktk mazingira yapi na kwanini utaratibu huo hautatumika sasa, kwanini umeshindwa na kutuingiza ktk utaratibu huu mpya
ReplyDeleteI stand to be corrected....but this biashara inakidhalilisha chama......sorry if CCM will feel offended!......but wazee wangu HII KITU HAIPENDEZI kabisa.
ReplyDelete50,000 kiingilio kuchangia CCM ili muendelee kuiba .... tehee teheeee teheeee tuhuu tuhhuuuu, si asafari niitumie kuingia miss tanzania, kenge nyie CCM.
ReplyDeleteKwa uchungu gani uliowashika mpaka kupata wazo kuita wananchi wawape mchango?........Kwanini wazo kama hili msingelitumia kuombea PESA YA BARABARA say FLY-OVER japo moja!!Wewe anon namba moja hapo juu niko pamoja na wewe.......JK acha kucheka na watu...hivi kweli una ADVISORS?.....halafu hao vikongwe uliowarithi kutokea ENZI ZA MWALIMU wanakusaidia nini JK??.....Ebwana unatakiwa ukaze buti kweli kweli....dakika ndo zinayoyoma na inaelekea kwamba pamoja kwamba tunakuaminia wewe ni mtoto wa mjini lakini your leadership imetetereshwa na WACHOVU waliokuzunguka na wanaoshindwa KUKUSHAURI IPASAVYO.....endelea kuwakumbatia na kuwachekea-chekea...ila usije kumtafuta mchawi wako!
ReplyDeleteSASA HAWA JAMAA, MIAKA YOTE WALIKUA WANATOA WAP? HELA ZA KAMPENI , NA HAWA HAWA WAMEKATAA KUONGEZA MISHAHARA KWA WAFANYAKAZI NA KUWATUKANA SASA WANATAKA MICHANGO GANI? NA TUTOE WAP?
ReplyDeleteNimejaribu kuDeep namba ya Mjumbe naona haipatikani.
ReplyDeleteHivi kima cha chini cha mtu ukachangie chama cha siohasa jamani hii imekaaje
ReplyDeleteWazo la mchango ama harambee sii baya ila liliko tokea ni msala mbaya sana kwa maana mwenye kiti wa mkoa mama nsilo swai ndio chanzo cha kuzorota kwa maendeleo ya chama. Sijui kwanini mwenyekiti wa taifa hulioni hili. watu hawapendi chadema wanampenda ndesa kwaajili ya uzembe na upofu wa mwenyekiti wa ccm taifa. Kwa mikono na akili yake mwenyewe anakimaliza chama
ReplyDeleteTusiwe na maneno tu. Tuwe na matendo pia. Sasa jamani wenzangu mmejiandikisha kupiga kura? Kama tayari, basi poa
ReplyDelete