Site of the crash


At least 160 people aboard an Air India plane were killed when the aircraft crashed after it overshot a hilltop runway near the southern Indian city of Mangalore early Saturday, officials said.


The Boeing 737-800 aircraft carrying 160 passengers and six crewmembers burst into flames, the Times of India reported.

The plane was flying from Dubai and trying to land around 6 a.m. local time when it overshot the runway, which ends in a valley.

The plane hit a fence and went beyond the boundary wall of the airport, according to the Press Trust of India.

for more information: CLICK HERE

Kwa pamoja tunaendeleza
libeneke la Globu ya jamii
Mdau Fredy

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2010

    Wadau, mimi nimeruka ruka sana na hizi ndege kubwa. Ila nadhani pia kwa faida ya wote tushauriane ndege za shirika lipi ni makini katika kusafirisha abiria. Nakumbuka nikiwa Qatar Airways nikiconnect kuelekea bongo rubani alikuwa anaishusha shusha kwa ghafla na watu wakawa wanapiga kelele, ila hawakutangaza chochote na hali ile iliendelea kama mara 3 zaidi. Tangu siku hiyo naamini sitapanda tena ndege za hilo shirika. Emirates poa sana, pia KLM, Air Canada (one of the planes siku moja ilianza kurudi nyuma kumbe kuna abiria alikuwa amechelewa kidogo then ikarudi kumchukua kwanza, sijawahi kuona), BA na Cathay Pacific. Air India, China and a few more, yaani siwaamini hata kidogo! Japo kama imeandikwa imeandikwa tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 23, 2010

    In my opinion, Emirates is the best of course followed by Swiss Air. Hizi zingine kama KLM na nini watu tunapanda for the sake of route convenience tu. Sema shida Emirates chakula chao sio kizuri wakati watu kama KLM mlo wao si haba.

    Halafuuu, mbona ikitokea ajali ya basi watu midomo juu, lakini ajali za ndege sisikii watu wakizungumza kabisa.

    Kwa kweli ajali ni ajali tu, na kifo ni kifo tu, japo kifo cha ajali ya ndege ni kibaya sana, yaani mtu unajiona kabisa kuwa unaenda kufa na there is nothing you can do about it.

    So sad. Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. Amen.

    ReplyDelete
  3. Ebu sikizeni nyie wamatumbi. Ajali ni ajali, haijaalishi ni chombo cha shirika gani kinahusika. Ajali haichagui rangi au nembo ya ndege. Nimebahatika kusafiri na Qatar Eaweiz mara kibao na kuwa na chache zilizo kuwa na msuko suko. Nilishawahi pia kusafiri kwa KeiEloEmu mara mbili, na moja kati ya hizo ilikuwa balaa! Yaani ilibaki kama dakika 2 hivi kutua Rome lakini sheshe lililotukuta halielezeki, lakini alhamdoulillah tulitua salama japo walituomba radhi. Sasa je, tukio hilo moja tu laweza kutia thumu shirika lote eti kwa safari hiyo moja ambayo mimi nilikuwemo? Je safari nyingi poa au mbaya zaidi ambazo mimi sikuwepo zitachangia vipi katika maoni hayo yangu?

    Ushauri ni kuwa, unaposafiri hasa kwa ndege ujue kuwa una paasenti chache sana ya kupona mara ndege inapoachanna na ardhi. Unakuwa nusu mfu mpaka pale itakapogusa tena ardhi. Wanaopona katika ajali za angani ni mirakooz. Si kwa sababu ya umaridadi wa shirika la ndege. Sali na utubu dhambi zako sana kabla ya safari ya ndege kwani ni nafasi nzuri ya kujiandaa kabla ya kufa.

    Affu, wee anonym hapo juu, nani alikueleza kuwa kifo cha ndege unakufa huku unajiona? Uliwahi kufa wewe? Wacha kupiga watu fix bwana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...