Home
Unlabelled
jaribio la wizi wa gari lililofeli dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bongo bwana, mwizi ametaka kuiba gari, na anakwenda kituoni kwa kutumia gari hilo hilo, huku anawashiwa kiyoyozi, hii ni bongo tu, ulaya hakuna.
ReplyDeleteLugalo
MICHUZI....UNAPOSTI VITU GANI NDUGU YANGU.....WHAT IS THIS???
ReplyDeleteAsante mdau kwa picha ya tukio. Naomba utoe maelezo ya ziada. Binafsi sijaelewa huo wizi ulikuwa ufanyikeje.
ReplyDeleteTuwekee maelezo ya nini kilichojiri make sauti haisikiki vizuri
ReplyDeleteAsante ankal, kweli nimeamini bongo watu hawana kazi za kufanya na hata kama wanazo basi wana muda mwingi wa free
ReplyDeleteyani kukitokea jambo dogo tu watu wanajaa na hawataki kuondoka mpaka wajuwe mwisho wake utasema wanachukua habari
jambo kama hilo likitokea waachieni wahusika wa ulinzi wa nchi wamalizane
nendeni mkatafute ugali sio mnakaa kujazana kijinga like that kama huyo dada hapo katoka hukooo kaacha wateja kwenye mama nitilie yake kakimbilia umbea hauna faida na yeye
HAHAHAHAHAHA MBAVUUUUUUUUUUUUUUU.
ReplyDeleteBongo watu hawana kazi.Likitokea tukio wote wanajazana kushangaa jambo, tena wanatumia muda mwingi kushangaa, inaelekea hilo kundi lote kalibia hapo ni jobbless, wanazugazuga tu town,na wengine ni vibaka hapo hapo,ukizubaa tu unaibiwa
ReplyDelete