





Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hakuna jipya.... tunataka kima cha chini 315,000.00 japo hutaki kura zetuu...
ReplyDeletewewe Anon wa may 27,05:06:PM
ReplyDeletevipi? unauliza makalio ya mbwa wakati mkia unauona!huyo mwenye kofia nyekundu ndie yeye ras makunja sema tu leo gitaa lake lipo kwa fundi,lakini ndie mwenyewe kiongozi wa watoto wa mbwa ffu
Wee acha wafungue kwanza hapo Marangu. Ungejua wateja wako wengi sana hapo na mama yangu ni mmoja wao na alikua mpaka aende Moshi mjini. bank hii matawi ya juu wana foreign account hapo ukiweka hela kabdla ya saa 9 mchana mama anaipata siku hiyo hiyo. Lakini kwenda Moshi mjini ndio inakua matatizo tena.
ReplyDeletekuna watu wana macho makali !unajua uyu kamanda amenipa kisogo sikujua kama ndie yeye ras makunja.
ReplyDeletenaona yupo kistaraabu leo,bila kifaa cha kazi
hivi, usalama wa rais upo hapo kweli?
ReplyDeleteNapenda kutoa maoni kuhusu kampala International University.Kama mdau alivyolonga hapo juu ni kweli usiopingika kua hawa waheshimiwa wanatoza ada kwa dola za Kimarekani wakati mishahara na gharama zote wanalipa kwa fedha za kitanzania na hazibadiliki (Fixed). Ni wakati wa watanzania kurudi nyuma na kuangalia kama ni lazma kusoma kwao ama wana elimu nzuri ambayo tunakimbilia moja, ama wanajua mapungufu ya elimu yetu hivyo wanaleta tiba mbadala hivyo kutulazimu kwenda hapo. kama wangekosa wanafunzi nadhani wangejiuliza kuna nini.
ReplyDeletetuna TCU hapa je sio moja ya kazi zao kuangalia utaratibu wa kuendesha vyuo. Prof Mayunga nadhani hapa unaweza kutusaidia.
embu tuweke taratibu za kuwekeza Tanzania na tuzifuate vinginevyo tutahukumiwa na vizazi vijavyo. Mdau na mwanafunzi muathirika wa utaratibu wa KIU