Naibu Katibu mkuu,wiazara ya Fedha na Uchumi Dr.Servacius Beda Likwelile akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miongozo ya kazi naibu katibu mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi Dr.Servacius Beda Likwelile katika sherehe fupi za kumwapisha zilizofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miongozo ya kazi naibu katibu mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi Dr.Servacius Beda Likwelile katika sherehe fupi za kumwapisha zilizofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Mashaka he?
ReplyDeleteHi mzee mwenyewe michuzi!!! plz bwa michuzi tunaomba sana utwekee link ya taifa stars na brazil ili tuione live kwani tunaamini kuwa sio peke yake nchi 160 zitakazo ona huo mpambano bali ni dunia nzima!!!!
ReplyDeleteHII JAMAA ALIKUWA AFUNDISHA PALE MLIMANI KACHOKA LEO MAMBO YAKE SAFI. LAKINI HII NI MATUNDA YA ELIMU YAKE. HONGERA
ReplyDelete