Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2010

    Sawa sawa kabisa, hapo kanifurahisha.. CAF na FIFA hawana utani bwana, wakisikia hivi wanaweza kutufungia kama miaka miwili hivi... Huyo Wambura anafikiria maslahi yake tu, lakini hajui kwamba ana-risk maslahi ya taifa.. He's simply ignorant and greedy!!

    Mdau wa kabumbu

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 07, 2010

    Wambura kama unataka kwenda kwenye siasa usipitie michezo tafuta njia nyingine huku ulisha chemsha. kama mimi ningekuwa viongozi wa kamati ya uchanguzi, mumpitishe wambura then wanachama wa simba msimpe hata kura 2,abaki na yake moja hapo mtakuwa mmemmaliza kisayansi zaidi. hata Rage nae hakuna kitu hizo elements hatuzitaki kwenye michezo wataturudisha kule kule ambako kwa sasa taratiiiiiib tunaanza kukusahau japo with slow pace.
    by Kawala-Sweden

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 07, 2010

    Hiyo kesi iko mahakamani tayari kwa hiyo Joel Bendera asiingilie mahakama ni kosa kisheria,asubiri hukumu itoke ndio aanze kuongea.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 08, 2010

    Stop that ego!!!

    "...nimeandika speech kama ya page 3/5, na kila mtu alikuwa anataka copy..."!

    ....mhhhh, Mheshimiwa, you don't need to praise yourself too much, let other people do it for you!

    It might be a 'wonderful speech' but may be those who asked for it, didn't really think that way!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 08, 2010

    bla bla bla , bla bla bla bla,
    next time you quote other people's words , remember to reference as well Mr !

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2010

    Jamani tangu lini mtu akajisifu mwenyewe "Eti kila mtu alitak copy ya speech yangu" Mahakama ndio mtenda haki, sasa kuna watu kwa kutumia kisingio cha katiba ya FIFA sijui CECAFA na TFF wanawakosesha wenzao haki zao za msingi.

    Mimi ndio mwajiri mkuu

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 08, 2010

    MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI BWANA,HIVI WAMBURA ALICHOUKOSEA MPIRA WA TANZANIA NI KITU GANI MPAKA AANDAMWE NAMNA,ME I THINK THERE IS NOTHING WRONG WITH HIM THAT CAN NOT BE CURED WITH WHAT IS RIGHT WITH HIM BWANA,YANI SASA IMEKUWA KILA AKITAKA KUGOMBEA NAFASI KWENYE MPIRA WA MIGUU IWE TFF AU KWENYE CLUB LEVEL JINA LAKE ETI LINAONDOLEWA,TULIONA HAYA KIPINDI ALIJITOKEZA KUGOMBEA U MAKAMU WA MWENYEKITI TFF NA SASA LINAJIRUDIA TENA SIMBA,TOO MUCH SASA.

    SAYZ HADJ A.K.A. MWAJIRI MKUU

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 08, 2010

    FIFA,TFF ni Genge la wahuni tu,kwanini wawe juu ya sheria za nchi? WaTz acheni ukondoo lazima tujifunze kutetea haki zetu,lets justice take its course.Big up Wambura am down with you Bro.
    By Mwananchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...