Timu ya wahenga wa Kijitonyama ambayo itakwaana na timu ngumu ya Muhimbili Veterans katika mchezo wa kirafiki siku ya Jumamosi tarehe 29.05.2010. Lengo la mchezo huo ni kukuza mahusiano baina ya timu hizo na kujenga afya za wachezaji. Habari zaidi za Kijitonyama Veterans: BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
kijitonyama veterans
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...