Home
Unlabelled
libeneke la bahari view, bagamoyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hamna lolote wizi mtupu na unafiki juu
ReplyDeleteankali naona wanauza nyago tuu hao jamaa yangu fanya miundo mbinu ya kutuwekea mambo ya maana si kuuzisha nyago watu
ReplyDeleteYaani nimefurahi kuona hiyo , maana tulivoeenda bagamoyo mara ya mwisho mwaka jana tulipata tabu sehemu ya kula , lakini sasa nikienda nitaenda hapo, na hao wanaosema wizi mtupu , wanafiki hao wao hawana kazi za kufanya kazi kukandia juhudi za wenzao. ulienda hapo ukaibiwa ? sasa unasema wizi wa nini ?
ReplyDeletemdau
kariakoo
si mchezo !! bagamoyo inakuwa sasa dah itabidi nifanye mpango nipate kiwanja na mimi huko nijijengee kibanda changu, kwani mjini pamejaa sasa hata kupumua huwezi na isitoshe sasa kuna barabara nzuri lami mpaka bagamoyo raha tupu...
ReplyDeleteAaaa!
ReplyDeleteMe nilidhani kuna VYUMBA bwana!