wadau wakicheki gemu la Bwawa la Maini na wana Darajani jioni hii katika kiota cha Break Point ya Mjini jijini Dar. Chelsea imeshinda 2-0 kwa taaaaaabu...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2010

    USIWE MNAFIKI NA MUONGO, CHELSEA HAWAJASHINDA KWA TAAAAAAABU KAMA UNAVYODAI WAMESHINDA KIRAHISI SAAAAANA HAKIKA LIVERPOOL WAMEONESHA JINSI GANI NI TIMU MBOOOOVU EPL!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2010

    NAKWELI TUMEWAFUNGA KWA TABU YANI KAGOLI KAMOJA FIRST HALF NA KENGINE KAMOJA KAMBINDE SECOND HALF NYUMBANI KWENU??? LIVER MWAKA HUU NZURI. MWAKAJANA TULIWATIA NNE. XCUSE MY FRENCH
    MDAU WA BLUU

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 02, 2010

    Wee michuzi acha uzushi, mmechezewa kama watoto wadogo na kufungwa mmefungwa lakini chaajabu ni kwamba man u ndio kaachwa na majonzi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 02, 2010

    Ukweli tunaujua,Liverpool mlibidi mpigwe hata 5-0,Kalou alikua anamkimbiza mascherano kama hana akili nzuri vile,Come On Blues

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 02, 2010

    huyo ambaye anasema Chelsea wameshinda kwa tabu hata hajui mpira!!!na nadhani ni mpenzi wa man utd!!!! usibane km unaujua mpira ongea ukweli mechi yote liverpool walikuwa wamezidiwa hlf ww sijui unaongea utumbo gani!!! mdau wa chelsea ughaibuni!!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 02, 2010

    eti chelsea wameshinda kwa tabu hili jamaa hata halijui mpira!!hlf nadhani ni lipenzi la vichwa vya wendawazimu man utd!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 02, 2010

    Mhh mjomba mjomba wala sio kwa taaabu kiivyo, mwaka mbaya kwako jipangeni upya

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 03, 2010

    Hizo teams mnazoziongelea ni za kwenu? Maana maongezi yote ni "tumewafunga, tumewafunga"! Hembu msichekeshe walionuna hapa. Ongeleeni mambo ya suluhi yenu na Rwanda, Ngorororo Heroes na Ivory Coast, na timu zetu nyingine za nyumbani.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 03, 2010

    SASA WANAMFUKUZA RAFA NA WANAMTAKA MENEJA WA FULHAM, MAJI KIUNONI

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 03, 2010

    haya ni maajabu amefungwa liverpool lakini wamenuna man u

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 03, 2010

    Nimehama hili timu la kisenge kila siku kufungwa tu yanini kuapta BP.Timu zimetutangulia pointi zaidi ya ishirini tunabaki kushangalia timu zingine hata nafasi ya nne tumekosa.Europe league tumetolewa hata komba la mbuzi hatuna.Bwawa la Maini my ass.Bakini nyie .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...