Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2010

    Du..!!, huwezi kulinganisha UK na kenya, Tazama ukomavu wa kisiasa ulioko UK. Kenya Kibaki aling'ang'ania madaraka kwa gharama ya damu za wakenya.

    The Kalija

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2010

    we ano wa kwanza hujaipata mada hiyo, mwenzako anamaanisha waige ya marekani kumchagua mwenye asili ya kigeni kama wenyewe mambo yanawashinda.
    Nimeipenda sana ulivpopresenti

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2010

    aise wewe ano wa kwanza hau elewi hiyo joke hata kidogo. by the way it is jaust a joke. elections za kenya na uingereza ni tofauti only that at the end of their elections hawa kujua nani awe mkuu wa nchi. kenya kulikuwa na rigging ya hali ya juu na uingereza hakuna aliyepata kura za kutosha inavyo takiwa na constitution ya huko.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...