Home
Unlabelled
mashindano maalum ya olimpiki kwa mikoa 15 yafanyika morogoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
1: Ni jambo zuri kuwakumbuka hawa watu walio katika jamii kwani wamekua wakipewa kisogo kwa muda mrefu
ReplyDelete2: haw waandaaji hawajazingatia swala la Afya na Usalama kwa mtazamo wangu, najua wengine mtanipinga. Huwezi kuwasha huo mwenge harafu uunyanyue kwenye hayo maturubai ya plastiki, yakishika moto hapo atalaumiwa nani? kwanini hicho kitendo kisingefanyika sehemu isiyokua na viashiria vya hatari kama hiyo, nawakilisha
kcc- Ukerewe
Nawapongeza wadhamini wa mashindano haya. Hivi ndio vitu vya kusponsor kama unataka kusaidia jamii. Kuna wanafunzi wengine hawatasahau hii michezo maishani mwao na itaboost confidence zao sana.
ReplyDelete