Mdau Vincent Kasambo Ernest, akila nondozzzzz yake ya Master of Science in Information Technology with Project Management kutoka chuo kikuu cha University of Maryland University College (UMUC) wikiendi ilopita
Mdau Akisindikizwa na my wife wake Deotila kuzila hizo nondozzzz

Mdau akiwa na mai braza wake Steve Kasambo (shoto) na ankal Godwin Meghji.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 26 mpaka sasa

  1. ...duuuu inanikumbusha Ilala mitaa yetu hiyo enzi hizo broo Lugalo vijana wanapiga libeneki Ilala primary, Iringa kwa Mzee Kasambo.
    Broo hongera sana mpe hi dogo steve.

    kwa kuwakilisha.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 17, 2010

    Hongera sana Vicent, hii inatia moyo sana. tunasubiri yako Steve.
    Mdau birmingham-UK (classmate wa steve)

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 17, 2010

    Chediel

    Imetulia kamanda..namkumbuka huyu mjizi na familia yao kwa ujumla..The guys was bad when come to school things...Kila la heri Mdau Vicenti katika carrier yako...

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 17, 2010

    hongeraaaaaaaaaaa mdau kwa kula nondo uko juuu elimu ni master key

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 17, 2010

    my best bet mlienda Swahili restaurant after that... Godwin vipi? Naum alikuwa wapiz... Congrats wazee wa Iringa! Chadiel uko wapi siku hizi? mg

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 17, 2010

    big up wadau kwa kula nondo huko USA

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 17, 2010

    tupeni michongo washikaji huku bongo

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 17, 2010

    aminia babake

    ReplyDelete
  9. ebwana tamu sana... Wazee mnawakilisha.. pwaz K usikimbie shule.. iga blazaako... Godwin umetoka pamba ka unatoka sign mkataba hotelini....

    ReplyDelete
  10. ambele mwafulaMay 17, 2010

    Hongera sana.Inapendeza familia nzima kuwa vichwa

    ReplyDelete
  11. Gee, great man, hongera sana. Rafa alikuwa wapi hapo?

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 17, 2010

    hongera sana kaka vicent, ila steven usivalie sutim kwa shughuri za wezako komaa na wewe upate nondo
    charles

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 17, 2010

    Safi sana vijana naona mnapiga nondo bado wewe Godwin na kasambo

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 17, 2010

    ankal godwin hiyo suti ni bei gani?

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 17, 2010

    naomba namba ya GODWIN TULISOMA NAYE PRIMARY huyu kaka-anna

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 17, 2010

    Congrats Vincent!!

    mwanangu naona wewe kwisha kuwa laigwanani fulu.

    Elly.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 17, 2010

    Hongera mzee kwa kukamata hiyo shahada ya pili(UZAMILI) kwenye mambo ya tekenolojia ya habari iliyobobea kwenye uongozi wa miradi. NI MUDA SAHIHI KUFIKIRIA VIZURI KATIKA KUITUMIA HIYO SHULE. Itakuwa si busara kuwa na shahada ya uzamili na kuendelea kufanya kazi za kuwaogesha vibibi vizee au kuwa walinzi ULAYA na MAREKANI Ila kama utapata kazi katika ULEDI wako bora ubaki huko. NAMUONA KIJANA Godwin, Long time toka tupo Tanga school

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 17, 2010

    Annoy wa 06:33 PM

    In life there is a stage.Even kids have to start walking after crawling stage is gone. What do I mean..If you get a chance to come in US or Europe no matter what credentials you possessed, acceptance of situation you find here is the number one criterion to success..You have to go by that dirty jobs before you reach your dream.....

    I am in the States since 1998 living Kansas..now I'm making grand of $$ from that job you have a thoughts its bad one

    ReplyDelete
  19. Nawakilisha Kasambo's family.. We have a proud kwa achievement yako..

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 17, 2010

    Chediel uko wapi wewe? Je ni wewe ulikuwa ndugu wa Niceforus pale Ilala Iringa?
    Hongereni Kasambo's - Ilala Iringa.
    Mdau Uholanzi

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 17, 2010

    Nyukiiiiii! Aaaa Nyukiiiii! Hongera sana "NYUKIII" Najua Bwa Vice utakumbuka ni nani huyuu mliekua mkiitana hivi, hongera sana Bro kwa kuonesha njia nasi tutajitahidi kupita humohumo. Stive sina hofu nawe. Salamu kwa Raphael
    Nawakilisha
    NYUKIIIIIIIII - UKEREWE

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 18, 2010

    Thanks kwa baraka zenu nyote, mawasiliano: kasambo@yahoo.com

    ReplyDelete
  23. fresh sana bro unawakilisha vyema Ilala yetu bwana hata walimu waliotufundisha wakati ule ahh watakuwa wanafurahi sana pale ilala primary. Safina K

    ReplyDelete
  24. Safi sana hayo ndo maendeleo. Steve sina shaka na wewe mambo kama hayo ni ya December this year utakuwa mzuuuuuuuuuka.

    Jamaa nilio nao hapa Mzumbe wanawatakia mafanikio nyie ambao mnaendelea na nondozzzzzzzzzz

    Zakaria Swedi- Msc A&F 2009/2010student Mzumbe University

    ReplyDelete
  25. Ambele Mwafula Asante kwa Hongera zako wapi wewe dogo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...