Tatizo la maharamia wa Kisomali kuteka meli karibu kila siku limekuwa sugu kiasi ya kwamba nchi kadhaa zimeanza kujipanga ili kuwashughulikia. Tatizo hata ukiwakamata maharamia hao utawashtaki kwa kifungu cha sheria ipi na ya nchi gani?
Home
Unlabelled
meli ya kivita uholanzi yakabidhi mafuta iliyokamata kwa maharamia wa kisomali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAFI SANA WADACHI BIG UP
ReplyDeletemdau wa mahakama kuu ya dunia uholanzi.
HAKUNA BIG UP HAPO KWANZA WANAKIUKA SHERIA NA TANZANIA WANAWAACHIA BANDARI YETU SIE HAPO PIA TUNATAKIWA KUWA KAZINI NA KUWAFAHAMISHA WAO SIO WAO WATAWALE HIYO BANDARI? JE YETU YAKITOKEA? WANAWAACHIA MABAHARIA WETU WAFANYE KAZI KWA KUTAWALA BANDARI YAO?.
ReplyDeleteAfande Mwamunyange JAMBO AFANDE!
ReplyDeleteNakushauri msipokee hayo mafuta. Au mkiyapokea msiyatumie kwenye vifaa vyenu-magari, vifaru nk.
Hamuwezi kujua usalama wa hayo mafuta kama ni safi au ya kuungaunga kama yale wanayoiba vibaka kwenye malori ya mafuta na kutia kwenye mifuko ya Rambo.
Maana yamenyang'anywa toka kwa maharamia ambao hawana tofauti na hao vibaka wetu tu.
Huwezi kujua utunzaji wake ulikuwaje.
Kama sio salama yataharibu mitambo/magari yenu yote. Kumbukeni Bure/Nafuu ni GHALI.
Wao waholanzi bado wana safari ndefu kwa nini wasiyatie kwenye meli yao?
Huu ni ushauri kwa nia nzuri tu na wala sio wa dharau kwa watu waliyotupa zawa.
Au muyagawe kwa watu. Vifaa
Mbona akiwa anaongea mbongo waandishi wanakuwa wengiii ila akiwa anaongea mtasha hawatoshi hata kwenye kiganja???
ReplyDeleteSasa hawa wadachi washatuchonganisha na hao maharamia. Wakijua kuwa tumepewa haya mafuta, tujiandaeni kwa lolote kutoka kwa wasomali. Nihayo tu.
ReplyDelete