Baadhi ya wafugaji wa asili kutoka Wilaya ya Kilosa, Mvomero, Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Morogoro wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Said Mwambungu ( hayupo pichani) wakati wa kufungua mkutano wa wafugaji wa asili na wadau wengine juu ya mchakato wa kuanzishwa Chama cha Wafugaji cha Mkoa kitakachowasadia kuleta mabadiriko ya maendeleo yao.
( Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2010

    Big up wafugaji. Ni mwanzo mzuri maana mmenyanyaswa sana. Kuunda umoja wenu ndiyo nguzo pekee itayoweza kuwatetetea hasa inapokuja kwenye manyanyaso. Maana wakulima wanapendelewa sana na mfugaji anaonekana kama hana faida yoyote katika nchi hii. Wakati waheshimiwa hao hao wanategemea nyama na maziwa ya ng'ombe wa kienyeji. Tunapowanyanyasa na kuwapiga vita wafugaji nadhani sio sahihi. Cha muhimu ni kuwaelimisha jinsi ya ufugaji bora na sio kuwapiga vita. Hongereni sana wafugaji wa Morogoro. Naomba wafugaji wengine wote nchi nzima waige mfano huo na waunde umoja wao ikiwa ni pamoja na vyama vya ushirika vya wafugaji wa wanyama wa kienyeji hususan Ng'ombe.
    Mmasai Halisi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...