Shangazi wa Rais wa Marekani Barack Obama amepewa ruhusa kubaki nchini humo baada ya kuomba hifadhi ya kisiasa kwa mara ya pili.
Zeituni Onyango, aliyezaliwa baba mmoja na Bw Obama, anaendelea kuishi katika nyumba za umma huko Boston baada ya kukataliwa alipoomba hifadhi hiyo mwaka 2004.
Aliomba tena baada ya kujulikana hadharani kuwa anakaa kinyume cha sheria wakati wa kampeni ya Bw Obama mwaka 2008.
Wakati huo Bw Obama alisema hakujua kwamba shangazi yake alikuwa Marekani kinyume cha sheria.
Watu wanaotafuta hifadhi Marekani lazima waonyeshe kuwa wanateswa nchini mwao kwa misingi ya dini,asili, utaifa, kwa kutoa maoni ya kisiasa, au kujihusisha na kundi la utetezi.
Zeituni Onyango, aliyezaliwa baba mmoja na Bw Obama, anaendelea kuishi katika nyumba za umma huko Boston baada ya kukataliwa alipoomba hifadhi hiyo mwaka 2004.
Aliomba tena baada ya kujulikana hadharani kuwa anakaa kinyume cha sheria wakati wa kampeni ya Bw Obama mwaka 2008.
Wakati huo Bw Obama alisema hakujua kwamba shangazi yake alikuwa Marekani kinyume cha sheria.
Watu wanaotafuta hifadhi Marekani lazima waonyeshe kuwa wanateswa nchini mwao kwa misingi ya dini,asili, utaifa, kwa kutoa maoni ya kisiasa, au kujihusisha na kundi la utetezi.
Habari kamili nenda BBC Swahili
duuh kweli maisha mihangaiko sana.sasa hao Marekani wamkumbuke Mwanakijiji wa jamii Forums.maana misiba na mambo mengi yanatokea nyumbani anashindwa kuja.
ReplyDeletehata kampeni za uchaguzi angekuja kuwapiga tafu Chadema.lakini ndio hivyo mambo bado hayajakubali.lakini dalili ya mvua ni mawingu kama Zeitun Obama kapata basi naye atapata.
Kidogo niseme JAMES BROWN.Kumbe ni shangazi yake mtu.Ebana eeeh kweli duniani kuna watu wamefanana.
ReplyDeletesasa uyu shangazi kwa ukimbizi gani hasa alionao toka 2004 na sasa??
ReplyDeleteaibu hii...kisa obama rais
Du..Anafanana na Michael Jackson
ReplyDeletewewe uliyesema kama James Brown umeniwahi, mimi nilitaka kusema kama Michael Jackson.
ReplyDelete