KIPA WA TGT AKISINDIKIZA KWA MACHO GOLI LA 7 KWA TIMU KIPEPEO TOURS GOLI LILOFUNGWA NA MUSA.
MKURUGENZI WA TANZANIA 2000 ADVENTURE GIBSON (SHOTO) NA MKURUGENZI KIPEPEO TOURS BALTAZAR WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA KATIKA UFUNGUZI HUO WA MECHI ZA UFUNGUZI.


TIMU YA KIPEPEO TOURS NA TIMU YA TGT

Ufunguzi wa bonanza la michezo la Karibu Fair umeanza leo katika uwanja wa Tgt kwa timu 6 na matokea yalikuwa yalikuwa Tanzania 2000 adventure 2-wild track ilishinda kwa goli 3, Zara Tours iliwashinda the Arusha goli 5 kwa sifuri na timu ya Kipepeo Tours iliishinda Tgt kwa magoli 7 kwa sifuri, Mechi hizo zitaendelea tena Jumatatu.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2010

    Hii ndio Arusha ninayoikumbuka. majani ya kijani, mawingu allthe time ...what a town

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2010

    safi sana jamani maboss wa kibongo kama hawa wanahamisha sana afya kwa mazoezi tuige mfano huo tusifuge vitambi na zile kauli za kusema boss kitambi zimepitwa na wakati tuwaunge mkono wenzetu,
    JERRY
    USA

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2010

    Duh...Arusha hali ya hewa kama mtoni kabisa aisee..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...