Wadau ambao ni baadhi ya umati mkubwa uliohudhuria ufunguzi wa festival ya waafrika iliyofanyika nyumbani kwa Balozi wa Afrika kusini mjini Athens, Ugiriki, wikiendi hii.
wadau karibu na banda letu

wadau wakikarangiza maakuli
taifa la leo nao walikuwepo kwa wingi
kwa habari na picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2010

    Hii ugiriki ina siri gani Mbona kila siku haipiti bila kuona habari zao?Tena wanaonekana wanainjoy na maisha yao. Napenda sana kuona watoto wao jinsi wanavyonawiri.Tutumieni mwaliko nasi tuje yaona laivu!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 17, 2010

    mdau wa hapo juu usijaribu kufikiri kuhusu greec ni nchi maskini na ambayo siku yoyote itafilisiwa kutokana na madeni na hali mbaya ya uchumi,ni bora ujifie zako tz kuliko kwenda kuteseka huko

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 17, 2010

    mdau wa pili bora ndugu ungelikaa kimya, hujui kinachoendelea ugiriki kabisa! juu ya matatizo yanayoikabili greece kwa sasa huwezi kufananisha na maisha ya mlala hoi tanzania kabisaaaaa!!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 17, 2010

    kama nchi masikini mbona watu wetu wanaonekana wana pasitaimu veri wel?Je wewe ulishawahi kuishi huko? Au ni katika wale wadau wanaopenda kupinga kila kizuri?Kama ningepata viza nigependa kuona hawa wenzetu wanavyoishi maana nishasikiastory za gudi taim toka kwa mabaharia waliowahi kkukaa nchi hiyo

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 17, 2010

    tTukubaliane Ulaya(EU) ni Ulaya(EU) tu na Greece ni mwanachama wa EU.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 17, 2010

    sawa greece ina hali ngumu kiuchumi lakini maisha popote utakapo pata rizki yako(ajira)unaweza kuwa hapa bongo japokuwa ni nyumbani lakini mwanao akatembea pekupeku au usiweze hata kula yake sio kama naponda nyumbani lakini hiyo ndio hali halis ya mtanzania wa chini ni mashaka matupu,waacheni wachakalike na maisha acheni kuchonga kama huna cha kucomment kaa kimya

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 17, 2010

    Hao unaowaponda siku ukikutana nao kwao watakukaribisha chakula, kinywaji na hata kukufanyia mpango wa malazi kama vipi. Si vema kuwakashifu watu kwa hali zao za maisha (japo hata hujui hali zao). Kwani aliyekuambia tajiri siku zote ana furaha ni nani? Umelelewa namna gani wewe ndugu yetu? Hawajakuomba chakula unawatukana, na wakihitaji msaada wako si ndio utawakaanga nyama zao??? Tabia mbaya sana, acha hayo mambo ndugu yetu.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 18, 2010

    ebwana eee wananikumbusha perea enzi zile mambo ya meli huko wanaenda mabaharia bwana.hah..hah..hah..,walio lala waache walale.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 18, 2010

    safi sana

    (ivi uko imani asa ni ipi?)

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 18, 2010

    Wazungu wanasaidiana; si kama sisi. Ugiriki imepata msukosuko wa kiuchumi. Umoja wa nchi za Ulaya [eu] itaipa zaidi ya DOLLAR BILIONI 150!!! kwa awamu tatu ili ijikwamue. (u can b sure sehemu kubwa ya utajiri huo unatokana na wao kudhibiti uchumi wa dunia, hususan Afrika). Tuamke.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...