Home
Unlabelled
twiga stazz yakabidhiwa bendera tayari kwa kwenda kuwakabiri wa Eritrea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa mbona hamtuambii mechi ya kwanza iliisha vipi kama hii wanayokwenda kuche ni ya marudiano?
ReplyDeleteBora hata msingetuletea habari hii haina hata ladha yeyote ile kutokana na kutokujua mechi ya kwanza iliisha vipi.
Je ni Mh. Dr. Emmanuel Nchimbi au Mh. Emmanuel Nchimbi????
ReplyDeletemdau wa kwanza yaonekana hukuona matokeo ya mwanzo alafu unalaumu mbona matokea ya mwanzo yalionyesha kuwa timu ya twiga iliibangua Eltrea mabao 8 kwa 1 na sasa ndo wanaenda marudio.
ReplyDeleteMDAU NORWAY
kwa kumsaidia mtoa maoni wa kwanza match ya kwanza iliyofanyika Dar twiga waliipiga eritria 8-1
ReplyDeletewe mdau hapo juu, wakati mwingine ujifunze kuuliza kwa upole ueleweshwe na s kuanza kutoa lawama. unategemea habari za wiki iliyopita uletewe leo kweli...??? "Kuuliza si ujinga bali anayesita kuuliza ndiye mjinga zaidi"
ReplyDelete