



Mkuruenzi wa Masoko wa TBL,David Minja akibadirisha mawazo na wadau mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali baina ya Singida na Lindi uliochezwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar.Singida imeshinda 3 - 0.
Most read Swahili blog on earth
Mkuruenzi wa Masoko wa TBL,David Minja akibadirisha mawazo na wadau mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali baina ya Singida na Lindi uliochezwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar.Singida imeshinda 3 - 0.
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Singida yetu inapaa,tunawapongeza wachezaji na benchi zima la ufundi kwa mkoa wa Singida.Bigup my brother MO.
ReplyDeleteSo proud of Singida. Singida Hoyee!!!
ReplyDeleteBaaaaaaa, sikupenda mwenzenuuu, imekuwaja jameniii
ReplyDeleteUshindi wa Singida haukuwa wa kubahatisha hata kidogo. Mashindano ya mkoani kwao yallianzia toka ngazi ya kijiji, tarafa mpaka wakapata timu ya mkoa. Walijipanga sasa imelipa. Hilo ni fundisho kuwa katika soka hakuna mambo ya kubahatisha ila ni kujipanga na maandalizi ya kisawasawa.
ReplyDeleteMo kafanya jambo no sweat lindi bado tunayeya mtajibebaaa,warugaruga
ReplyDeleteNa we Michuzi Sin ya sasa umeanza kuchafua lugha kama mdogo wako DOGO Michuzi Jun ya?
ReplyDeleteSasa "...akibadiRisha mawazo..." ndio nini badala ya "...akibadiLisha mawazo..."
Tutamuita MzeeKifimboCheza hapa. we haya tu.
Hongera sana Singida kwa kuiweka kanda ya kati katika kumbukumbu za soka, ni imani yangu ile dhana ya kusema mikoa ya Dodoma, Singida,Arusha, Manyara ni ya wakimbiaji wa mbio ndefu tu..sasa itajadiliwa kwa kina.Pia ni imani yangu kuwa wachezaji wote walioshiriki wanachezea vilabu vya ngazi tofauti MKOANI SINGIDA.
ReplyDelete