ZA LEO ANKALI
WATANZANIA NA WALE WOTE WANAOWEZA KUSOMA HAYA YALIYOPO, KWA MANUFAA YETU SOTE, NI MUHIMU KESHO TUENDE TUKAPIGE KURA ILI TUWEZE KUCHAGUA VIONGOZI AMBAO WANA MANUFAA KWETU UKIZINGATIA UK IPO KATIKA KIPINDI KIGUMU CHA KUSHUKA KWA UCHUMI.
WALIOANZA NA CONSERVATIVES WANAJUA SERA ZAO, WALIO INGIA NA LABOUR WANAJUA SERA ZAO, LIB DEMS TUTAJUA UTEKELEZAJI WA SERA ZAO KAMA WATASHINDA.

JE NI CHAMA GANI CHENYE MANUFAA KWETU? CHAGUO NI LETU!
TWENDENI TUKAPIGE KURA KESHO ALHAMISI TAREHE 6-5-2010
HABARI NDIO HIYO....!!!!
MDAU UKEREWE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2010

    Mie siko UK ila nimeangalia debate na kufuatilia huu uchaguzi kwa makini. I think UK will be better off wakimchagua David Cameron na chama chake cha Conservative Party.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2010

    Hehehe nakupongeza kwanza mdau wa mwanzo kwa maoni ya conservative najua unataka wageni wasiingie tena uk.Pili huyu aloweka tangazo sisi inatuhusu nini Ikiwa UK INA WAKATI MGUMU,HUANGALII KWENU HUKO ? HAO WAZUNGU WENYEWE WANAKIMBILIA AFRIKA NA NDIO MAANA HATA UKISOMA HAPA BIASHARA SWALI LINAKUJA WAPI NI MAHALA BORA KUEKEZA-JIBU NI AFRICAN COUNTRIES NA NDIO MAANA MKUTANO UMEHAMIA TANZANIAAAAAAAAA SASA HIVI WA UCHUMI.UKOME

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 06, 2010

    Mdau Thu May 06, 12:03:00 AM utendaji wa chama na serekali hauangaliwi tu kwenye sera zilizoandikwa vitabuni na kusemwa mdomoni, Matendo ya uongozi na usimamizi wa kazi ndio silaha muhimu katika maendeleo na kufanya maamuzi ya nani achaguliwe.
    Tory Sio chama, waliharibu nchi wakati wa Margreth Thatcha, na wataendelea kufanya hivyo, Usidanganyike na kijana wa Eden Anavyobwabwaja. Conservatives sio chama, Kwa anayetaka kuvote, Akachague Labour, ndio mwikozi wetu, wengine ni BNP kinyemela japo hawaweki wazi.
    Tory walikataa workers rights na kupinga National minimum wage, Walikataa Unions etc...Tungoje tuone nani ataibuka kidedea. Ila Kwa asiyekuwa na maamuzi kabisa, Mi namshauri akachague Gordon na chama chake.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 06, 2010

    ulivyoandika twendeni tukapige kura kwani huko wenzetu hata wahamiaji mnaruhusiwa kupiga kura?au ndio mmeshaikana bongo maana dual uraia hoja bado iko bungeni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...