JK akimkaribisha ikulu Rais Wa Zimbabwe Robert Mugabe Ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.Rais Mugabe yupo nchini kwa mazungumzo na Rais Jakaya Kikwete. JK akimkaribisha ikulu Waziri wa Maendeleo wa Denmark Soren Pind leo mchana.Baadaye viongozi hao wawili walifanya mazungumzo rasmi. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2010

    Kwa Mazuri tutakusifu JK. Hongera kwa mkutano huu mzuri na pia hongera kwa kuinua jina la Tanzania.

    Kwa mema lazima tutakusifu tu. Kazi yako kwa upande huu ni nzuri sana.

    Mungu akutie nguvu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 04, 2010

    Wee Anony May 04, 10:54:00PM....Yaani ni hilo TU uliloliona wewe la muhimu kuwa Wa-Tanzania wanalo muhitajia JK?

    Wa-Tanzania tunasikitisha sana, iwapo watu wanaridhika na upeo wetu fikra unakomea kwenye issue zisizo na tija kwa taifa!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2010

    Tutafika tu!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2010

    Duh! Kamanda Mugabe noma....achezi mbali na waziri mkuu wake(Tsvangirai).kaamua kuja kubanana nae Dar.Hatakalosema asikie live no kuadisiwa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 05, 2010

    mie nafikiri EU wamemtuma denmark awasemee meseji yao kwa mugabe (via JK)
    sasa tunasubiri watuambie wanateta nini. jongwe bado yumo tu ingawa anatakiwa aende kula pensheni yake, bilioni hamsini kwa wiki!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 05, 2010

    viva mugabe viva malema viva wapenda africa wote kwa ujumla sio kuabudu wakoloni tu.aluta continua

    ReplyDelete
  7. Jamani, najaribu kuwafanyia mambo mengi kadri ya nafasi zilizopo na tunazozitengeneza, mbona mnakuwa mnanishambulia namna hiyo kila wakati? Tulieni, acheni nifanye kazi yangu. Na nyie mtimize wajibu wenu katika nafasi zenu kikamilifu, kwa pamoja tutafika (bega kwa bega).

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 05, 2010

    Yaani kwenye huu mkutano, kamanda na jemedari ni mmoja tu, MUGABE.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 05, 2010

    KATI YA VIONGOZI WALIOBAKI HAI AMBAO NI MFANO WA BABA WA TAIFA LA TANZANIA J.K.NYERERE NI MBABE ROBERT MUGABE.
    NAMPA CREDIT B+ KWA KUJIAMINI BILA WAOGA KUWARUDISHIA RAIA WAZAWA ARDHI AMBAYO NDO THANA MUHIMU KWA WANANCHI WA ZIMBABWE.
    KWA MTAZAMO WA KIBEPARI RAIS ANAONEKANA NI DIKTETA, LAKINI KWA HALI YA KUJALI HALI YA MAISHA YA WAAFRIKA WENGI NI SHUJAA WA UPEO WA HALI YA JUU SANA

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 05, 2010

    Mdao hapo juu hujakosea.Uoni hata JK anafurahi sana baada ya kukutana na rais wa kweli Africa.Mungu amape maisha marefu Jongwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...