Ankal nanihii salaamzzz...
Napenda ku-share na wadau hii kitu wakati Tanzania ikiadhimisha siku kupinga vita madawa ya kulevya duniani. Yaani wapo watu kama hawa ambao muda wao wa kutafuta fedha ulishapita.Swali ni je, anatumiwa kwa ajili ya manufaa ya kwake au ya watu wengine?
Napenda ku-share na wadau hii kitu wakati Tanzania ikiadhimisha siku kupinga vita madawa ya kulevya duniani. Yaani wapo watu kama hawa ambao muda wao wa kutafuta fedha ulishapita.Swali ni je, anatumiwa kwa ajili ya manufaa ya kwake au ya watu wengine?
Mdau wa Globu ya Jamii,
J.J. Lyimo
J.J. Lyimo



Hilo ni kweli lakini pia kama wasemavyo "THIS IS AN ISOLATED CASE"
ReplyDeletePia ni kweli kwamba tatizo hili sana sana lipo kwa vijana zaidi kuliko wazee. Ila swala ni kwamba bali na usawishi pia umaskini unachangia kwa kiasi kikubwa tatizo la madawa na usafirishaji wake.
Haya Matatizo wengine wengi wanafanya kwa ziki ya pesa Ukiwacha wale kwa ziki Ya Njaa wengine wanatoka familia tajiri na hili wanafanya... Ila wengine hasa vijana wa kike wanadanganywa.
ReplyDeleteVIJANA WENGINE NIMEONA WANALAZIMISHIWA MZIGO THEN WANAWATUPA TU AIRPORT WAO WANAKIMBIA WAHUSIKA..
HUYU BIBI MZIGO WAMEMUWEKEA KWA LAZIMA NA KUMSHUSHA AIRPORT WAHUSIKA KUKIMBIA SIZANI KAMA HUYU BIBI KATAKA KUFANYA HIVYO.
MZ.
Bradha mbona naona hao wanaompekua kama ni wanaume vile!?!
ReplyDeleteKwani hata kama ni mhalifu hana haki zake za kimsingi za kibiinadamu jamani!?!
Pure mjasiriamali....
ReplyDeleteAwekewe kwa ulazima si angejipeleka mwenyewe kwa officers usalama wa airport? Au utatuambia kuwa kajukuu kake kameshikiliwa mateka? Kwa taarifa yako wazungu wazee kibao wanabeba unga tena ktk masanduku, namshangaa huyu kajivika, ndo maana kashtukiwa
ReplyDelete