Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Baiashara ya Nje (TANTRADE), Bw. Ramadhan Khalfan akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Nyerere jijini Dar leo kuhusu maandalizi ya ufunguzi rasmi wa Maonesho hayo utakaofanywa kesho Alhamisi Julai 1, 2010 na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu.
Home
Unlabelled
Balozi Juma mwapachu kufungua rasmi sabasaba 2010 kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...