Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Baiashara ya Nje (TANTRADE), Bw. Ramadhan Khalfan akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Nyerere jijini Dar leo kuhusu maandalizi ya ufunguzi rasmi wa Maonesho hayo utakaofanywa kesho Alhamisi Julai 1, 2010 na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...