Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki kwa Wateja Binafsi na wa Biashara za Kati wa benki ya Stanbic Tanzania Douglas Kamwendo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati benki hiyo ilipotangaza kushusha baadhi ya gharama za huduma zake kuanzia jana. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Stanbic, Abdallah Singano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2010

    Samahani kaka michuzi,nina swali kuhusu timu ya taifa ya Brazil wamefika au bado?kwasababu sijaona picha zozote za kuwasili kwao

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2010

    Hapo ni baada ya kupata deal la kuikopesha serikali ya TZ Sh. Bn 250, zinazohitajika kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2010/11!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 07, 2010

    ANKALI SI UWAMBIE HAWA STANBIC WASEME WAZI NI GARAMA ZIPI ZIMESHUSHWA?

    BENKI HII NI NZURI SANA ILA MABISHOO WALIOPO HAPO MAKAO MAKUU SIO WA MCHEZO UKITAKA VIMINI BABU NENDA STANBIC HEAD OFFICE SI WAKE ZA WATU WALA SINGLE,

    Stive.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...