FFU wakiwa gwarideni
Bendi mashuhuri ya mziki wa dansi barani ulaya "The Ngoma Africa Band" aka FFU wa Ughaibuni, wamefanikiwa kwa mara nyingine tena kutingisha jukwaa kubwa la maonyesho ya mziki "International Africa Festival Mjini Tübingen,Ujerumani.
Onesho hilo liliofanyika wikiendi ilopita liliudhuriwa na washabiki sugu ambao walijimwaga uwanjani kwa shangwe na nderemo kulisakata dansi la bendi hiyo. Ngoma Africa Band wanatamba na CD yao "Jakaya Kikwete 2010" Pia unaweza kuwasikiliza hapa www.myspace.com/thengomaafrica
kwa raha zako


Mkuu wa FFU Ughaibuni Ras Makunja akiwa

na mpiga solo mahiri akiwa na mtutu wake tayari kwa gwaride


Hapa hatumwi mtoto dukani...

Kamandi nzima ya FFU Ughaibuni






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...