meza kuu
Rais Jakaya Kikwete akifungua warsha ya Elimu kanda ya afrika iliyogharamiwa na Shirika la msaada la Marekani (USAID) jijini leoBalozi wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt akiongea katika ufunguzi wa warsha hiyo leo jijini Dar.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Jumanne Maghembe akichangia katika warsha hiyo jijijni leo.wajumbe wa warsha wakimsikiliza Rais Kikwete wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Elimu kanda ya afrika iliyogharamiwa na Shirika la misaada la Marekani (USAID) jijini dar leo. washiriki wa warsha ya elimu kanda ya afrika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 08, 2010

    kaka michuzi naomba next time tuletee angalau video ya dk 10 ya awa viongozi wetu wakiwa wanatoa speech esp ktk mikutano kama hii ambayo inawabidi wacharange kimombo..!!
    Mdau,
    USA

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 08, 2010

    hebu tuwekeeni clip ya mzee wa kaya tusikie sound-bite na geli za dar hill.

    ReplyDelete
  3. sasa hawa wamarekani wanatudanganya nini.Mwaka nenda rudi wanatuletea hamishia watu wao huku kufanya kaza. anyway my point mbona hakuna maendeleo au hao watu wao wanaoakilisha ni hewa certificate zao wamepata kwa drive through. si next time watu unganishie mapesa hayo kwa online banking alafu tujipange kiaina tujue tutatoka vipi manake hatujawahi kupewa nafasi kuwa leaders we are always by standers just to take blames miaka yote hiyo ya mikopo few maendeleo.mhhh hapo kunamkono wa mtu..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...